Mufti wa Tajikistan Aunga Mkono Kupigwa Marufuku Hijab
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Saidmukarram Abdukodirzoda, Mwenyekiti wa Baraza la Maulamaa wa Tajikistan, aliunga mkono rasimu ya sheria inayopiga marufuku "mavazi ngeni" na kusema kwamba mavazi ya kitaifa yanapaswa kuzingatia kanuni za Kiislamu.



