Ijumaa, 05 Dhu al-Hijjah 1447 | 2026/05/22
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu
kesho kutwa

kesho kutwa

Kadhia ya Palestina na Vita vya Gaza Zilianza Siku ambayo Khilafah Ilisitishwa Suluhisho Lake, Pamoja na Masuala Yote Yanayowakabili Waislamu, Yanaweza Kupatikana Tu kwa Kusimamishwa kwake tena

Leo, hakuna haja ya maelezo ya kina kuhusu jinsi kadhia ya Palestina ilivyoanza na kuasisiwa kwa umbile la Kiyahudi mnamo siku mwaka wa 1948. Vita vya uharibifu huko Gaza, ambako wanadamu, mawe, na miti vinaangamizwa, vimekuwa vikiendelea kwa muda wa miezi saba, ikishuhudiwa na ulimwengu kwa jumla.

Hizb ut Tahrir / Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina): Qalqilya... Mkutano mkubwa wa Hadhara wa Kuinusuru Gaza na Rafah!

Alasiri ya leo Jumamosi tarehe 18/05/2024, umati mkubwa wa watu kutoka eneo la mkoa huu na maeneo ya jirani walikusanyika katikati ya mji wa Qalqilya, kuitikia wito wa Hizb ut Tahrir katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina), ambao iliuelekeza kwa watu kuinusuru Gaza na Rafah, kukusanyika katika kisimamo cha halaiki chini ya kichwa, “Enyi Waislamu: Rafah baada ya Gaza Inalilia msaada, basi ifikieni,”

Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu