Mtazamo wa Haraka kuhusu Kifo cha Jenerali Ogolla
- Imepeperushwa katika Kenya
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Hatimaye Jenerali Francis Ogolla amezikwa. Baada ya kifo na mazishi, kuna haja ya kuzingatia mambo yafuatayo:
Hatimaye Jenerali Francis Ogolla amezikwa. Baada ya kifo na mazishi, kuna haja ya kuzingatia mambo yafuatayo:
Idara ya Ujasusi ya Mkoa wa Kandahar inawazuia wabebaji Da’wah kadhaa wa Hizb ut Tahrir / Wilayah Afghanistan kwa miezi 12 iliyopita. Wiki hii, imefikia kipindi chake cha mwaka mmoja. Mbali na kuteswa na maafisa wa ujasusi, wamekuwa korokoroni bila hukumu kutoka kwa mahakama wakati huu.
Vichwa Vikuu vya Toleo 492
Sükîna Aslan, ambaye alikuwa miongoni mwa kina dada wa kwanza nchini Uturuki ambaye alibeba da’wah na kujitolea maisha yake kuregesha maisha kamili ya Kiislamu kama mwanamke mwema na muumini, alisalimisha roho yake jana kwa Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema.