Jumanne, 02 Dhu al-Hijjah 1447 | 2026/05/19
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu
kesho kutwa

kesho kutwa

Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia: Matembezi “Ramadhan ni mwezi wa Jihad na Ufunguzi, basi Songeni, Enyi Majeshi ya Waislamu, kwa ajili ya Kuinusuru Gaza”

Hizb ut-Tahrir / Wilayah ya Tunisia iliandaa matembezi yenye kichwa “Ramadhan ni mwezi wa Jihad na Ufunguzi, basi Songeni, Enyi Majeshi ya Waislamu, kwa ajili ya Kuinusuru Gaza” baada ya swala ya Ijumaa kutoka Msikiti wa Al-Fatah katika mji mkuu hadi barabara ya Al-Thawra ambayo ni matembezi ya 23 mfululizo

Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Kampeni ya Kitengo cha Wanawake ya Ramadhan “Ramadhan ni Mwezi wa Ushindi”

Karibu Ramadhan, mwezi wa ushindi, mwezi wa bishara njema, mwezi wa kujadidishwa imani na kutakasa nyoyo, mwezi wa utiifu na kushindana katika mambo mema. Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu aliyetufikisha Ramadhan, mwezi huu mtukufu ambao tunahisi ndani yake maana ya rehema na umoja baina ya Waislamu. Karibu, Ramadhan.

Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu