Jumamosi, 29 Dhu al-Qi'dah 1447 | 2026/05/16
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu
kesho kutwa

kesho kutwa

Chombo cha Usalama huko Kerkennah Kinawafuatilia Wanaotafuta Kuwaokoa Watu Wetu huko Gaza Wakitoa Wito kwa Majeshi Kuwanusuru, Na Kuwachukulia kuwa ni Washukiwa wa Uhalifu Wanaostahili Kuchunguzwa na Kukamatwa!!

Huku Gaza ikiungua mikononi mwa umbile halifu la Kiyahudi, na wanawake na watoto wakikatwa vipande vipande kikatili, katika kimya kamili kutoka kwa tawala za Kiarabu zinazosaliti na shirikishi, katika wakati ambapo Palestina; Isra na Mi’raj, Ardhi Iliyobarikiwa, cha kwanza kati ya vibla viwili, inalilia majeshi ya Waislamu kwa ajili ya hatua ya haraka kukomesha uhalifu wa mauaji ya halaiki ambao haukomi.

Bajeti ya Janga ya Kikoloni na Amana za Benki za Dolari Bilioni 60 ni Kizuizi cha Mzunguko wa Kiuchumi na Vita dhidi ya Mwenyezi Mungu na Mtume Wake!

Benki Kuu ilisema kwamba amana za mfumo wa benki zilifikia dinari bilioni 43.292 mwishoni mwa Novemba iliyopita. Amana za benki ziliongezeka kwa 2.8% ikilinganishwa na kipindi kama hicho mwaka 2022, huku idadi inayokadiriwa ya wakopaji kutoka benki za Jordan ikifikia takriban watu milioni 1.2.

Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu