Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Maoni ya Habari 10/01/2024
- Imepeperushwa katika Pakistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Kwa Mabadiliko ya Kweli… Kataeni demokrasia... Simamisheni Khilafah.
Kwa Mabadiliko ya Kweli… Kataeni demokrasia... Simamisheni Khilafah.
Huku Ulimwengu wa Kiislamu ukiporomoka katika uchumi na usalama, Waislamu wanatafuta njia ya kutokea. Hivi sasa Waislamu wamegawanyika katika dola za kitaifa hamsini na saba, ambapo hali hiyo imewadhoofisha.
Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Tunisia, iliandaa "Matembezi ya Ukombozi" kwa kichwa “Sisi Sio kwamba ni Watu Tunaowahurumia Watu wengine, bali Sisi ni Umma Mmoja” kuyataka majeshi ya Waislamu yataharaki kuwanusuru Waislamu wanyonge katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) na kukomboa Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa na Palestina yote inayokaliwa kimabavu kuanzia mto wake hadi bahari yake kutokana na makucha ya Mayahudi wauwaji wahalifu.
Mashambulizi ya Gaza yanaendelea kwa zaidi ya wiki 5 sasa, na wakati kuna ‘sitisho la muda la kibinadamu’ kuruhusu ubadilishanaji wa mateka, umbile la Kizayuni limeweka wazi kuwa wataendelea kuishambulia Gaza mara tu sitisho litakapoisha.