Al-Waqiyah TV: Kipindi cha Miangaza, “Trump Anawasaliti Wasaliti!”
- Imepeperushwa katika Al-Waqiyah TV
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Maoni ya Kisiasa ya Kila Wiki
Maoni ya Kisiasa ya Kila Wiki
Maoni ya Kisiasa ya Kila Wiki
Kiongozi wa kiulimwengu wa Kanisa Katoliki, Papa Francis yuko katika ziara ya kipapa barani Afrika ya siku tano. Alipokuwa nchini Kenya, Papa huyo alifanya mazungumzo na viongozi wa madhehebu mbali mbali ya kidini kuhusiana na ushirikiano na umoja wa kidini miongoni mwa dini tofauti tofauti.
Kifo cha mwanafunzi mmoja na kujeruhiwa vibaya kwa wanafunzi thelathini wa Chuo Kikuu cha Strathmore katika jiji kuu la Nairobi katika Zoezi lililo kwenda mrama la Kupambana na Ugaidi ni jambo la kuvunja moyo na ambalo lastahili kukemewa na kila muekaji amani.