Enyi Waislamu Mlioko India! Acheni “Hisia za Uchache” Mlizopachikwa Jivunieni kuwa Waislamu!
- Imepeperushwa katika Uchambuzi
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
India hivi karibuni imepitisha sheria inayoitwa Sheria ya Mabadiliko ya Uraia mnamo Disemba 2019, itakayowapa uraia watu wa dini zilizo na watu wachache isipokuwa Waislamu kutoka nchi jirani.



