Upofu wa Moroko kwa Zama Zake Zilizo Pita na Mustakbali Wake
- Imepeperushwa katika Tanzania
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Mfalme Mohammed wa Sita wa Moroko amekamilisha ziara yake nchini Tanzania.
Mfalme Mohammed wa Sita wa Moroko amekamilisha ziara yake nchini Tanzania.
Msanii maarufu wa Marekani Chris Brown yuko katika ziara ya Jiji la Mwambao wa Pwani la Mombasa Kenya kufanya tamasha la muziki katika Bustani ya Mama Ngina. Msanii huyu si maarufu tu kwa wapenzi wa muziki bali pia katika upande wa ujambazi.
Kwa mara nyingine tena, kashfa nyingine ya ufisadi imeonekana. Wakati huu inawahusisha maafisa wa Wizara ya Afya wanaozuiliwa juu ya ufujaji wa zaidi ya Shilingi bilioni tatu ($300m). kama kawaida, uchunguzi umeanzishwa lakini kwa yakini hakuna atakaye shitakiwa.
Vita dhidi ya madawa ya kulevya vinaonekana kuzidi kasi nchini Tanzania baada ya Kamishna wa Eneo la Dar es Salaam kuamuru msururu wa ukamataji wa watu wenye haiba ya juu na maarufu.