Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 536
- Imepeperushwa katika Al-Rayah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Vichwa Vikuu vya Toleo 536
Vichwa Vikuu vya Toleo 536
Video hii pia inazungumzia jinsi ushindi na mafanikio ya kweli kwa nchi ya Syria na kwengineko yanaweza kupatikana tu kupitia kuziondolea ardhi zetu mabaki yote ya uingiliaji kati na utawala wa wakoloni - ikiwemo vipengele vyote vya mfumo wao wa kisiasa na imani, na kuikumbatia ruwaza ya kweli ya Kiislamu iliyo huru. Hili linaweza kupatikana tu kwa kutekeleza Sheria na Mfumo wa Mwenyezi Mungu (swt) kwa ukamilifu chini ya kivuli cha Khilafah kwa njia ya Utume.
Ramadhan ni mwezi ambao ndani yake Umma wa Kiislamu ulishinda maadui wengi wenye nguvu. Hebu Waislamu na waregeshe hukmu kwa Kitabu cha Mwenyezi Mungu ﷻ katika mwezi wa Ramadhan, na warudishe ushindi dhidi ya maadui, kwa kumtegemea Mwenyezi Mungu ﷻ.
Tarehe 1 Februari 2025, Bodi ya Udhibiti wa Nishati ya Zambia (ERB) iliongeza muda wa tozo za umeme za dharura za Shirika la Ugavi wa Umeme la Zambia (ZESCO) kwa miezi mitatu ya ziada, ambayo ni kuanzia Februari 1 hadi Aprili 30, 2025, huku nchi ikiendelea kukabiliwa na tatizo kubwa la upungufu wa umeme.