Ijumaa, 14 Dhu al-Qi'dah 1447 | 2026/05/01
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu
kesho kutwa

kesho kutwa

Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia: Matembezi ya Ukombozi: “Mapinduzi Yanaendelea Kujikomboa kutokana na Ukoloni na Kusimamisha Khilafah kwa Njia ya Utume.”

Matembezi ya 66 yalianzia mbele ya Msikiti wa Al-Fath katika mji mkuu wa Tunis, baada ya swala ya Ijumaa, mnamo tarehe 10 Januari 2025 yalioandaliwa na Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Tunisia kuwanusurur watu wa Palestina na Al-Aqsa iliyo mateka, na kichwa chake kilikuwa “Mapinduzi Yanaendelea Kujikomboa kutokana na Ukoloni na Kusimamisha Khilafah kwa Njia ya Utume”

Hatimaye, Baada ya Mauaji ya Kutisha na Maangamizi Mabaya Yaliyofanywa na Mayahudi mjini Gaza… Na Baada ya Kimya cha Kuchukiza cha Watawala wa Waislamu…Trump Aanzisha Usitishaji Tete wa Vita

Mnamo tarehe 16 Januari 2025, tovuti ya Al Jazeera ilichapisha masharti ya makubaliano ya kusitisha mapigano katika Ukanda wa Gaza kuanza leo, Jumapili, Januari 19, 2025. Ilisema: [(Makubaliano ya kusitisha vita katika Ukanda wa Gaza yalitangazwa katika mji mkuu wa Qatar, Doha kutekelezwa katika hatua 3.

Kutekwa Nyara na Kupotezwa kwa Lazima: Ishara ya Mfumo Uliofeli

Kenya inashuhudia wimbi kubwa la utekaji nyara na mauaji yanayolenga watu mbalimbali. Tume ya Kitaifa ya Haki za Kibinadamu ya Kenya (KNCHR) inaelezea wasiwasi wake juu ya ongezeko la kutisha la utekaji nyara, kupotezwa kwa lazima na mauaji ya kiholela kote nchini. Mwenendo huu ni wa kuchukiza. Baadhi ya makundi ya vijana waandamanaji waliandamana katikati mwa jiji la Nairobi mnamo siku ya Jumatatu, tarehe 30 Disemba, huku makundi madogo ya watu wengine wakipanga kuketi vikao vya kulaani huku mawingu ya vitoa machozi yakitanda hewani. Waliimba kauli mbiu dhidi ya serikali, huku wengine wakiwa na mabango ya kulaani kuwekwa kizuizini kinyume cha sheria huku polisi waliokuwa wamepanda farasi wakishika doria karibu na hapo.

Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu