Jumamosi, 15 Dhu al-Qi'dah 1447 | 2026/05/02
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu
kesho kutwa

kesho kutwa

Mgawanyiko wa Umma wa Kiislamu na Athari zake za Sumu

Kuongezeka kwa kasi kwa uhasama kati ya Pakistan na Afghanistan katika wiki iliyopita kumesababisha kifo cha mwanajeshi mmoja wa vikosi vya usalama vya Pakistan na makumi ya raia nchini Afghanistan. Raundi hii ya hivi punde ya mapigano ya kuvuka mpaka inatokana na kile Pakistan ilisisitiza kuwa ni jibu lake kwa mashambulizi ya mara kwa mara ya kundi lenye silaha la Tehreek-e-Taliban Pakistan (TTP), ambalo Islamabad ilisema limepata kimbilio katika mpaka wa Afghanistan. Shambulizi la hivi punde zaidi la TTP, mnamo Disemba 21, lilisababisha vifo vya wanajeshi 16 wa Pakistan.

Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu