Hizb ut Tahrir / Denmark: Kisimamo jijini Copenhagen Kusherehekea Kuanguka kwa Utawala wa Assad!
- Imepeperushwa katika Denmark
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Kisimamo jijini Copenhagen Kusherehekea Kuanguka kwa Utawala wa Assad!
Kisimamo jijini Copenhagen Kusherehekea Kuanguka kwa Utawala wa Assad!
Maandamano mbele ya Bunge kupinga Ziara ya Abdel Fattah Al-Sisi nchini Denmark!
Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir/Wilayah ya Sudan ilifanya Jukwaa la Kila Mwezi la Masuala ya Ummah, mnamo siku ya Jumamosi, tarehe 5 Jumada Al-Akhir 1446 H sawia na tarehe 7 Disemba 2024 M lenye kichwa: “Wingi wa Majeshi na Wanamgambo ni Ishara ya Kuangamia kwa Dola, kwa hivyo ni ipi Njia ya Kutokea?”
Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan ilitoa hotuba ya kisiasa mbele ya Klabu ya Al-Shabiba katika Soko Kuu la Port Sudan, mnamo siku ya Jumatatu tarehe 7 Jumada al-Akhirah 1446 H, sawia na 9/12/2024 M, yenye kichwa: “Haki ya Kisheia ya Waislamu katika dhahabu, petroli na rasilimali nyenginezo”, ambapo Ustadh Ahmed Abkar, wakili, mjumbe wa baraza la Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan alizungumza, ambapo ilifafanua mali ya umma kuwa ni vitu vilivyoainishwa na sheria kwa ajili ya jamii, vinavyoshirikiwa kati yao, na kukatazwa kumilikiwa na mtu binafsi peke yake.