Jumamosi, 29 Dhu al-Qi'dah 1447 | 2026/05/16
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu
kesho kutwa

kesho kutwa

Huzuni Inazidi Huku Trump Akiwapa Mgongo Wafuasi wa Kiislamu

Viongozi wa Waislamu nchini Marekani waliomuunga mkono Donald Trump katika uchaguzi wa 2024 wanajikuta wakikabiliana tena na majuto. Wengi waliamini uungaji mkono wao ulikuwa aina ya kulaani dhidi ya jibu duni la utawala wa Biden kwa ukatili wa mauaji ya halaiki, wakitumai kubadilisha mizani ya kisiasa ili kupendelea hamu za Waislamu. Hata hivyo, matumaini yao yamekatishwa kwa uteuzi wa hivi karibuni wa Baraza la Mawaziri la Trump, ambao umesababisha mshtuko mkubwa.

Kuweka Matumaini Yenu Kwa Muuaji!

Erdogan, ambaye alionekana katika fremu moja na Rais wa Syria Bashar al-Assad katika picha ya familia ya Mkutano wa Kilele wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu na Umoja wa Kiarabu uliofanyika Riyadh, alijibu maswali ya waandishi wa habari kwenye ndege iliyokuwa ikiregea kutoka ziarani. Erdogan alisema wanataka kuweka mahusiano kati ya Uturuki na Syria kwenye mstari, “Bado nina matumaini kwa Assad, Mungu akipenda, uundaji upya wa sheria kati yetu na Assad utafariji zaidi eneo hilo.”

Serikali ya Kazakhstan Yawashtaki Mashababu wa Hizb ut Tahrir

Mnamo tarehe 4 Novemba, shirika la habari la Zakon.kz liliripoti: “Katika mji wa Kentau, eneo la Turkestan, seli ya siri ya shirika la kidini lenye misimamo mikali la Hizb ut Tahrir ilifutwa. Kulingana na taarifa hiyo, shughuli za utafutaji-utendaji zilifanywa na kitengo cha kukabiliana na misimamo mikali za Wizara ya Mambo ya Ndani kwa usaidizi wa Kamati ya Usalama wa Kitaifa.

Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu