Alhamisi, 03 Muharram 1448 | 2026/06/18
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu
kesho kutwa

kesho kutwa

Serikali ya Kazakhstan Yawashtaki Mashababu wa Hizb ut Tahrir

Mnamo tarehe 4 Novemba, shirika la habari la Zakon.kz liliripoti: “Katika mji wa Kentau, eneo la Turkestan, seli ya siri ya shirika la kidini lenye misimamo mikali la Hizb ut Tahrir ilifutwa. Kulingana na taarifa hiyo, shughuli za utafutaji-utendaji zilifanywa na kitengo cha kukabiliana na misimamo mikali za Wizara ya Mambo ya Ndani kwa usaidizi wa Kamati ya Usalama wa Kitaifa.

Waziri wa Masuala ya Kidini na Wakfu awa Mgeni wa Hizb ut Tahrir

Ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir/Wilayah Sudan ukiongozwa na Ustadh Nasser Ridha (Abu Ridha), Mkuu wa Kamati Kuu ya Mawasiliano ya Hizb ut Tahrir katika Wilaya ya Sudan, na pamoja naye Ustadh Ibrahim Othman (Abu Khalil), Msemaji Rasmi wa Hizb utTahrir katika Wilayah ya Sudan, na msaidizi wake, Ustadh Muhammad Jameh (Abu Ayman) ulimpokea Ndugu Dkt. Omar Bakhit Muhammad Adam, Waziri wa Masuala ya Kidini na Wakfu wa Kifederali katika afisi ya Hizb mjini Port Sudan, jana, Jumamosi, 21 Jumada al-Awwal 1446 H sawia na 23/11/2024 M.

Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu