Alhamisi, 17 Dhu al-Qi'dah 1446 | 2025/05/15
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Rambirambi

Leo, Jumatano, Septemba 14, 2022, mheshimiwa Sheikh Saeed Amin Saeed Amun amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 89, naye ni baba wa Numan, ambaye, Mwenyezi Mungu akipenda, ni mmoja wa mabwana wa mashahidi huko Peponi. Mazishi yake yalifanyika saa 2:00 usiku kwa saa za Tashkent

Soma zaidi...

Kwa Kutangaza Maombolezi ya Kitaifa Juu ya Kifo cha Malkia Elizabeth II, Serikali ya Hasina Ilifichua Utiifu wake Halisi kwa Waingereza na Kusaliti Damu na Muhanga wa Watu Waliopigania Ukombozi kutoka kwa Ukoloni wa Kiingereza

Serikali ya Hasina ilitangaza Maombolezi ya kitaifa ya siku tatu kutokana na kifo cha Malkia wa Uingereza Elizabeth II. Bendera ya taifa itawekwa nusu mlingoti katika mashirika yote yanayomilikiwa kikamilifi na serikali, yenye kumilikiwa nusu na serikali na mashirika huru, taasisi za elimu, majengo yasiyo ya serikali, na balozi za Bangladesh ng’ambo, kulingana na arifa iliyotolewa na Kitengo cha Baraza la Mawaziri.

Soma zaidi...

Hasina Alikamilisha Ushirikiano wa Ulinzi wa Nchi Mbili Pamoja na Dola ya Kishirikina-India ambao ni usaliti dhidi ya Waislamu na Uislamu; kuomba Ushirikiano kama huo wa Kijeshi ni Ukiukaji wa Dhahiri wa Onyo la Mtume wetu (saw)...

Huku watu wakipima uzito ziara ya Sheikh Hasina nchini India katika suala la kutoa na kuchukua, wengi huikosa kadhia nyeti ambauo alipiga pigo kubwa kwa vikosi vyetu vya jeshi na kuvifanya dhaifu kwa kile kinachoitwa Ushirikiano wa Ulinzi wa Nchi Mbili pamoja na India.

Soma zaidi...

Kwa kuzingatia Udhalilifu wa Watawala wa Sudan, Balozi wa Marekani anakaimu kama Mtawala Mkuu wa Sudan

Balozi wa Marekani nchini Sudan, John Godfrey, mnamo Jumamosi tarehe 10/09/2022, alitembelea El Fasher katika jimbo la Darfur, na kufanya mkutano na serikali ya jimbo hilo, na kusema kuwa ziara yake imekuja kwa lengo la kufahamu hali ya mambo kwa ujumla Darfur, na kinachofuata ni utabikishaji wa Mkataba wa Amani wa Juba, pamoja na kubainisha masuala ya maendeleo na utulivu.

Soma zaidi...

Rasimu ya Sheria ya Haki za Mtoto katika Baraza la Wawakilishi la Jordan ni Aina ya Vita Dhidi ya Uislamu na Lazima Ikataliwe

Haibishaniwi kwamba Sheria ya Haki za Mtoto iliyoagizwa kutoka UNICEF, moja ya mashirika ya kimataifa ya Umoja wa Mataifa, ni sheria ambayo haina uhusiano wowote na haki za watoto katika Uislamu,na ni aina ya vita dhidi ya Uislamu kama mifano yake iliyotangulia ya sheria za haki za binadamu na CEDAW inayo husiana na wanawake, ambapo Magharibi inajaribu kuanzisha maadili ya urasilimali uliooza, ambayo ni kinyume na...

Soma zaidi...

Huzuni ya Watawala wa Waislamu juu ya Kifo cha Malkia wa Uingereza, Inatokana na Kujitolea kwao kwa Ukoloni wa Magharibi

Waziri Mkuu wa Pakistan, Shehbaz Sharif, aliandika kwenye anwani yake rasmi ya Twitter mnamo 8 Septemba 2022, “Nimehuzunishwa sana na kifo cha Mtukufu Malkia Elizabeth II. Pakistan inaungana na Uingereza na mataifa mengine ya Jumuiya ya Madola kuomboleza kifo chake.”

Soma zaidi...

Mifumo ya Kidemokrasia Inaishi Sambamba na Matatizo na Migogoro na Haiyasuluhishi

Amri ya kifalme ilitolewa kuvunja Bunge na kuitisha tena uchaguzi. Mandhari hii imerudiwa nchini Kuwait kwa miongo kadhaa. Baada ya hali kuwa mbaya zaidi kati ya mamlaka hizo mbili, ikifuatiwa na mivutano ya wabunge na wananchi, na mkwamo wa kisiasa unaosababisha kuvurugika kwa kazi za Baraza na serikali.

Soma zaidi...

Taasisi ya Afisi ya Rais na Kushindwa Kifikra Kuikabili Hizb ut Tahrir

Mnamo Jumanne, tarehe 30/8/2022, ujumbe kutoka Kamati Kuu ya Mawasiliano ya Hizb ut Tahrir/Wilaya ya Tunisia, ukiongozwa na Ustadh Yassin Bin Yahia, wakiwemo wajumbe Ustadh Al-Habib El Madini na Mohammad Ali Bin Salim, walitembelea Taasisi ya Tunisia ya Mafunzo ya Kimkakati, ambayo ni taasisi rasmi chini ya usimamizi wa Afisi ya Rais wa Jamhuri.

Soma zaidi...

Mazoezi Makubwa ya Kijeshi yenye Lakabu “Simba Mwenye Hamu 2022” nchini Jordan kwa Mara ya 10 Marekani Haitaweza Kutangaza Vita vyake dhidi ya Uislamu na Waislamu

Mnamo Jumapili, Amri Kuu ya Kijeshi ya Marekani (CENTCOM) ilitangaza kuanzisha mazoezi ya pamoja ya kijeshi nchini Jordan, ikisisitiza kujitolea kwa Washington kwa washirika wake katika Mashariki ya Kati kwa ulinzi wa pamoja dhidi ya matishio mbalimbali.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu