Tanzia ya Mbebaji Ulinganizi
- Imepeperushwa katika Lebanon
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hizb ut Tahrir katika Wilayah ya Lebanon inamuomboleza kaka mbeba dawah, Jamal Suleiman Abu Khaled, aliyefariki alfajiri ya leo, Jumatatu, 17 Muharram 1444 H, sawia na 15/08/2022, akiwa na umri wa miaka 59.