Jumamosi, 19 Dhu al-Qi'dah 1446 | 2025/05/17
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Na kwa Amos Hochstein Zinakuja Habari Halisi!

Mnamo Jumanne, Juni 14, 2022, Gazeti la Al Joumhouria lilichapisha habari kwenye tovuti yake yenye kichwa "Hockstein atangaza: Jibu la Lebanon lasukuma mazungumzo mbele," ambacho ni dondoo ya mahojiano ya kipekee na mpatanishi wa Marekani katika faili ya kuweka mipaka ya mafuta ya baharini kati ya Lebanon na umbile la Kiyahudi, Amos Hochstein, na Chaneli ya Al-Hurra.

Soma zaidi...

Kuongezwa Muda wa Ujumbe wa UNITAMS kwa Mwaka Mwengine Kunatokana na Usimamizi wa Dhahiri wa Nchi za Kikoloni juu ya Sudan

Mnamo Siku ya Ijumaa, tarehe 03/06/2022, Baraza la Usalama lilipitisha Azimio nambari 2636, la kuongeza muda wa Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa Kusaidia Awamu ya Mpito nchini Sudan (UNITAMS) kwa kipindi cha mwaka mmoja hadi 06/03/2023, kwa kauli moja ya wajumbe wa Baraza la Usalama.

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu