Enyi Watawala wa Pakistan, Jihadharini! Umma wa Kiislamu Utawafanya Mfano Wale Wanaoanzisha Mahusiano na Uvamizi wa Kiyahudi
- Imepeperushwa katika Pakistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Akihutubia mkutano wa Jukwaa la Kiuchumi la Dunia jijini Davos mnamo tarehe 26 Mei 2022, Isaac Herzog, rais wa umbile la Kiyahudi, alielezea furaha yake wakati wa ziara ya ujumbe wa Pakistan kwa uvamizi wa Mayahudi.