Alhamisi, 18 Ramadan 1445 | 2024/03/28
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Watoto 10,000 Wameuwawa au Kulemazwa wakati wa Vita nchini Yemen Mpaka Lini Idadi ya Watoto wa Yemen Itaendelea Kufa?!

UNICEF ilitangaza kuwa watoto 10,000 wa Yemen ima wameuawa au kulemazwa tangu kuanza kwa vita nchini Yemen mwezi Machi 2015 na kuongezea kuwa vifo vingi zaidi vya watoto na majeruhi havirekodiwi na milioni 11 wanahitaji msaada wa kibinadamu na karibu 400,000 wanaugua utapiamlo mkali huku zaidi yawatoto milioni 2 hawako shuleni.

Soma zaidi...

Watoto wa Syria: Maiti na Viungo vya Miili! Nani Atawasaidia na Kuzuia Ukandamizaji wa Mtawala Dhalimu Bashar na Maadui juu yao?

Asubuhi ya Jumatano tarehe 20/10/2021, vikosi vya al-Assad vililenga vitongoji kadhaa vya Ariha, mji wenye wakaazi wengi raia, na kurusha makombora zaidi ya tisa mfululizo ambayo yalipiga shule kadhaa, na kuacha mashahidi kadhaa,

Soma zaidi...

Raisi Japarov wa Kyrgyzstan Kamwe Hataweza Kusitisha Wimbi la Dawah Kupitia Kuwakamata Walinganizi Wake wa Kike

Kwa mujibu wa huduma ya habari ya Idara Kuu ya Mambo ya Ndani ya jimbo la Chuy, mwanaharakati mmoja katika Kitengo cha Wanawake cha Hizb ut Tahrir, mzaliwa wa mkoa wa Jalal Abad, katika wilaya ya Alamüdün ya jimbo la Chuy, alikamatwa.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu