Ijumaa, 23 Muharram 1447 | 2025/07/18
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Afisi ya Habari
Wilayah Sudan

H.  21 Muharram 1447 Na: HTS 1447 / 04
M.  Jumatano, 16 Julai 2025

Mwaliko wa Kuhudhuria Mkutano na Waandishi Habari

(Imetafsiriwa)

Kwa ndugu na dada zetu waheshimiwa katika vyombo vya habari, ikiwa ni pamoja na magazeti, redio, na runinga, sisi, katika Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan, tuna furaha kukualikeni kuhudhuria mkutano na waandishi wa habari wenye kichwa:

Hakuna Serikali inayoweza Kutoa Matumaini Isipokuwa chini ya Uislamu na Dola yake ya Khilafah

Atakayezungumza katika mkutano huo ni Msemaji Rasmi wa Hizb ut Tahrir Wilayan ya Sudan, Ustadh Ibrahim Othman (Abu Khalil).

Wakati: Jumamosi, 24 Muharram 1447 H, sawia na 19 Julai 2025 M, saa 1:00 Adhuhuri, Mwenyezi Mungu akipenda.

Mahali: Afisi ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan mjini Port Sudan, Wilaya ya Al-Azma, Mashariki mwa Uga.

Uwepo na ushiriki wenu ni heshima kwetu.

Ibrahim Othman (Abu Khalil)
Msemaji Rasmi wa Hizb ut Tahrir katika Wilayah Sudan

Hizb-ut Tahrir: Afisi ya Habari
Wilayah Sudan
Address & Website
Tel: 0912240143- 0912377707
http://www.hizb-sudan.org/
E-Mail: Spokman_sd@dbzmail.com

Andika maoni

Hakikisha umejaza (*) habari zinazohitajika palipoashiriwa. Kodi za HTML haziruhusiwi.

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu