Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Pongezi kutoka kote Ulimwenguni kwa Mnasaba wa Idd Al Adha 1444 H
- Imepeperushwa katika Afisi Kuu ya Habari
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Pongezi kutoka kote Ulimwenguni kwa Mnasaba wa Idd Al Adha 1444 H
Pongezi kutoka kote Ulimwenguni kwa Mnasaba wa Idd Al Adha 1444 H
Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon iliandaa msafara wa Takbir, Tahlil na Tahmid huko Miryata na vijiji vya Al-Danniyeeh kwa mnasaba wa kuingia siku kumi za Dhu al-Hijjah 1444 H.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon iliandaa msafara wa Takbir, Tahlil na Tahmid katika mji wa Tripoli Ash-Sham kwa mnasaba wa kuingia siku kumi za Dhu al-Hijjah 1444 H.
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir:
Kitengo cha Wanawake: “Wito wa Kuihami Heshima ya Dada Zetu Waislamu nchini Syria!”
Afisi Kuu ya Habari: Ulinganizi wa Kiulimwengu Sehemu ya 63 – Khilafah Rashida kwa Njia ya Utume
Mnamo Alhamisi, 01/06/2023, Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia ilifanya mkutano na waandishi wa habari katika makao makuu yake huko Ariana chini ya kichwa: "Sera ya adhabu ya serikali kwa Hizb ut Tahrir: Je, ubaguzi utaendelea hadi lini?"
Je, kuna umuhimu gani wa uchaguzi wa rais nchini Uturuki kwa Waislamu ndani na nje ya nchi hiyo? Na ni matokeo gani yanayowezekana kutokea kufuatia uchaguzi wa Erdoğan au Kılıçdaroğlu?
Kitengo cha wanawake cha Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia kimezindua kampeni pana yenye kichwa:
“Usekula Unawahadaa Watoto Wetu na Wokovu wao uko Mikononi Mwetu”
Hizb ut Tahrir katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) iliandaa kisimamo cha halaiki katikati mwa Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa, ambapo kupitia kwacho ilitoa wito kwa majeshi ya Umma wa Kiislamu kujibu hujma ya Mayahudi dhidi ya Msikiti wa Al-Aqsa uliobarikiwa na kuchafuliwa kwake, na kupandisha bendera ya umbile lao liliopotoka katika viwanja vyake na matusi yao kwa Mtume (saw).
Ujumbe wa dharura wa Mhandisi Ismail Al-Wahwah (Abu Anas) Mwenyezi Mungu amrehemu