Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 346
- Imepeperushwa katika Al-Rayah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Vichwa Vikuu vya Toleo 346
Vichwa Vikuu vya Toleo 346
Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria iliandaa kisimamo katika kambi za Atma Magharibi mkabala na kijiji cha Ataa kwa anwani: "Hakika Limekwisha Semwa na Watu Wetu Huko Hauran;Tutazisalimisha Roho na Wala Hatutazisalimisha Silaha!"
Hizb ut Tahrir Wilayah ya Kenya imechapisha toleo jipya la Jarida la UQAB kwa ajili ya mwezi wa Julai 2021 M.
Vichwa Vikuu vya Toleo 345
Katika msururu wa amali zilizopewa anwani: "Kadhia ya Kikurdi na Utafutaji wa Suluhisho", ambazo zilianza kwa toleo la Juni la Jarida la Koklu Degisim, ziliendelea na jopo lililofanyika jijini Istanbul.
Jumamosi, Juni 26, 2021, Hizb ut Tahrir katika Ardhi Iliyobarikiwa - Palestina iliandaa maandamano mawili makubwa huku kukiwa na hasira iliyoibuka baada ya mwanaharakati wa kisiasa,
Vichwa Vikuu vya Toleo 344