COVID-19 na Idadi Isiowiana ya Watu Weusi Walioathiriwa na Virusi Hivi
- Imepeperushwa katika Uchambuzi
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Maafisa wa afya wameshughulishwa na matokeo ya kutowiana juu ya Waamerika weusi.
Maafisa wa afya wameshughulishwa na matokeo ya kutowiana juu ya Waamerika weusi.
Mateso katika aina ya mojawapo ya viumbe vidogo kabisa vya Mwenyezi Mungu (swt), kirusi, kimefichua batili ya Urasilimali na itikadi ya kisekula ambayo kwayo umejengwa juu yake, utenganishaji wa dini na maisha.
Kuna watu wengi wanashughulishwa sana na kuvunjika moyo wanapopatwa na madhara, shida au magonjwa.
Propaganda ya serikali za ulimwengu imewazamisha watu kwenye COVID-19. Hofu iliyoenea imewafunika watu akili zao na zimedumu kushughulishwa katika kupambana na maambukizi ya COVID-19.
Tangazo la Beijing na Uingizaji wa Siasa Katika Masuala ya Wanawake
Kutokana na hali ya sasa ya Covid-19, inaonekana kuna mkazo mkubwa juu ya kuhifadhi uchumi kuliko kuhifadhi maisha, ambapo Hazina ya Taifa kwa sasa inajaza matrilioni ya dolari ili kuhakikisha uchumi unabakia laini.
Katika Makala yangu yaliyopita, niliandika kuwa, "nidhamu yote ya kimataifa imetambua kufeli kwake katika kupigana na kiumbe kidogo zaidi ardhini na kumuacha mwanadamu kukabili kifo chake huku akiwa katika hali ya vishindo.
Kila siku ikipita, inakuwa wazi kwamba mgogoro wa virusi vya Korona kihakika unawakilisha mgogoro wa kiulimwengu, urasilimali wa sekula. Mgogoro wa virusi vya Korona, kama ilivyo migogoro mengine, umefichua mtazamo wa dunia na mfumo wa urasilimali.
Amerika inakabiliwa na janga na imeipiku Ujerumani na Ufaransa ndani ya siku mbili zilizopita kwa kesi za Covid-19, na licha ya Italia kuwa na idadi maradufu ya kesi kama Amerika, mjumuiko wa idadi ya kesi inazidi mara mbili ndani ya kila siku 4 nchini Italia, ilhali inazidi mara mbili ndani ya kila siku nchini Amerika.
Katika mwezi wa Rajab 2020 Miladia, itakuwa ni kumbukumbu ya miaka 99 Hijria tokea kuangushwa kwa Khilafah.