Jinsia na Ufeministi ni Miradi ya Kubadilisha Utambulisho
- Imepeperushwa katika Al-Rayah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Harakati za ukombozi wa wanawake zimeibuka katika jamii za Magharibi, zikikumbatia mawazo potofu yanayotaka ukombozi kamili wa wanawake. Hii ni kutokana na dhulma na kunyimwa haki za msingi za wanawake ambako wamefanyiwa, chini ya mfumo wa kisekula ambao umewaingiza katika taabu na unyonge.



