Kuona Mwezi Muandamo na Hesabu za Falaki
- Imepeperushwa katika Maswali ya Kifiqh
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Al Jazeera English iliripoti mnamo tarehe 28/04/2022 kwamba, “Waziri Mkuu wa Pakistan Shehbaz Sharif amemteua Bilawal Bhutto-Zardari, mtoto wa Waziri Mkuu wa zamani Benazir Bhutto, kama waziri wa mambo ya nje...
Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu na rehma na amani zimshukie Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw) na jamaa zake na maswahaba wake na wafuasi wake:
Ama swali la kwanza: ni ipi hukmu ya kusoma Al-Faatiha katika swala kwa maamuma? Na je kumkuta Imam kwenye rukuu au akiwa karibu na kurukuu kwa hali ambayo maamuma hatoweza kusoma Al-Faatiha nzima, je itahesabika kapata rakaa?
Je, sadaqa inayoendelea ni sharti iwe ni ile ambayo maiti alikuwa ameitoa kabla ya kufa kwake? Ama hata watoto wake wakiitolea roho yake pia itahisabika?
Tanzania ni miongoni mwa nchi zenye utulivu zaidi wa kisiasa barani Afrika. Tanzania inacheza dori katika Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC).
Kwa Umma bora ulioletwa kwa wanadamu ... Umma wa Kiislamu ambao Mwenyezi Mungu (swt) aliukirimu kwa utiifu Kwake...
Je, hotuba hii inaelekezwa kwa umma pekee, yaani je, Mwenyezi Mungu ataunusuru Umma wakati ambao Uislamu unatabikishwa ndani yake?
Urusi iliingilia kati kwa jina la Shirika la Mkataba wa Usalama wa Pamoja nchini Kazakhstan baada ya rais wake, Kassym-Jomart Tokayev, kuomba msaada wake katika kuzima maandamano yaliyozuka nchini mwake, baada ya bei ya gesi ya kimiminika kupanda maradufu, na kisha kupanda ghafla...
Swali langu ni kuhusu kuwapa hongera Wakristo kwa sherehe zao na kushiriki nao, na kilichonisukuma kuuliza swali hili ni jibu la swali la Sheikh Taqiuddin al-Nabhani, Mwenyezi Mungu amrehemu, kuliruhusu hilo, hivyo nataraji kutoka kwenu ufafanuzi wa jambo hili. Pamoja nalo ni jibu la swali la Sheikh Taqi.