Hizb ut Tahrir / Denmark: Maandamano mbele ya Bunge kupinga Ziara ya Abdel Fattah Al-Sisi nchini Denmark!
- Imepeperushwa katika Denmark
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Maandamano mbele ya Bunge kupinga Ziara ya Abdel Fattah Al-Sisi nchini Denmark!
Maandamano mbele ya Bunge kupinga Ziara ya Abdel Fattah Al-Sisi nchini Denmark!
Kwa imani katika qadhaa ya Mwenyezi Mungu (swt) na kutaka malipo Yake, Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Jordan inamuomboleza Mbebaji Da’wah katika safu zake: Hajj Mustafa Abdullah Al-Issa Al-Jaber Al-Aboushi (Abu Anas) Aliyefariki kwenda kwenye rehema za Mwenyezi Mungu Mtukufu asubuhi ya leo, Jumanne, 3/12/2024, akiwa na umri wa miaka 80.
Katika hafla ya kuadhimisha mwaka wake wa pili afisini, Waziri Mkuu wa Malaysia, Datuk Seri Anwar Ibrahim, aliandaa Mpango wa Miaka Miwili wa Serikali ya Madani (2TM) na Kongamano la Kitaifa la 2024 la Marekebisho ya Utumishi wa Umma mnamo Novemba 23-24, 2024 katika Jumba la Mikutano la Kuala Lumpur (KLCC). Hafla hilo ilionyesha huduma mbalimbali za serikali chini ya paa moja, na zaidi ya vibanda 30 vinavyotoa huduma na bidhaa kwa umma. Ripoti zilisifu hafla hiyo kuwa ya mafanikio, ikiwa na zaidi ya wageni 200,000. Zaidi ya hayo, Anwar aliendesha kikao cha ukumbi wa jiji kuangazia mafanikio na mipango yake chini ya serikali ya Madani huku akishughulikia ukosoaji, haswa kuhusu mahojiano yake ya CNN yenye utata kuhusu uwepo wa umbile la Kiyahudi na ufadhili wa makampuni ya kibinafsi wa safari zake na ujumbe wake nje ya nchi.
Marekani, Kupitia Usitishwa Vita, inafikia Mambo Mawili Makuu kwa Uadui wa Kiyahudi...
Mnamo tarehe 27 Novemba 2024, usitishaji vita ulitangazwa katika upande wa Lebanon kati ya umbile la Kiyahudi na Hezbollah. Moja ya masharti yake ilikuwa kwamba umbile la Kiyahudi lingeondoa jeshi lake linalovamia kutoka kusini mwa Lebanon ndani ya miezi miwili, huku Hezbollah ingerudisha nyuma majeshi yake kaskazini mwa Mto Litani. Makubaliano hayo pia yalivipa vikosi vya Kiyahudi uhuru wa kutembea kusini endapo chama hicho kitakiuka makubaliano hayo, sambamba na kuendelea na safari za ndege za adui katika anga ya Lebanon kwa ajili ya uchunguzi na ujasusi.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Bangladesh inaandaa kongamano la kimataifa lenye kichwa: “Mageuzi ya serikali au mabadiliko ya kina?”
Maoni ya habari yaliyotolewa na Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilaya ya Pakistan.
Ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir/Wilayah Sudan ukiongozwa na Ustadh Nasser Ridha (Abu Ridha), Mkuu wa Kamati Kuu ya Mawasiliano ya Hizb ut Tahrir katika Wilaya ya Sudan, na pamoja naye Ustadh Ibrahim Othman (Abu Khalil), Msemaji Rasmi wa Hizb utTahrir katika Wilayah ya Sudan, na msaidizi wake, Ustadh Muhammad Jameh (Abu Ayman) ulimpokea Ndugu Dkt. Omar Bakhit Muhammad Adam, Waziri wa Masuala ya Kidini na Wakfu wa Kifederali katika afisi ya Hizb mjini Port Sudan, jana, Jumamosi, 21 Jumada al-Awwal 1446 H sawia na 23/11/2024 M.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan ilitoa hotuba ya kisiasa kaskazini mwa Msikiti wa Ibn Masoud katika Soko Kuu la Port Sudan mnamo Jumatatu tarehe 11/18/2024 M, yenye kichwa: “Uislamu ni mfumo kamili wa maisha”.
Ni mwaka mmoja kamili baada ya watawala wa Waarabu na Waislamu kukusanyika kujadili kadhia ya Palestina kufuatia mkasa wa Oktoba 7, wanakutana tena mahali pale pale, pamoja na mtu yule yule, wakishughulikia tatizo lile lile, na hatimaye kutoa maazimio yale yale! Zaidi ya viongozi 50 wa dola za Waislamu walihudhuria Mkutano wa Waarabu na Waislamu mnamo tarehe 11/11/2024, akiwemo Waziri Mkuu wa Malaysia. Kwa kutabiriwa, mapendekezo yaliyochakaa yaliwasilishwa, na Mkutano huo ulihitimishwa kwa maazimio yaliyochakaa vilevile. Kikubwa kinachotolewa na watawala hao ni kulaani mauaji ya halaiki ya Gaza na ‘Israel’ na kuomba Umoja wa Mataifa (UN) - shirika lile lile lililohusika na kuzaliwa kwa umbile halifu la Kiyahudi.