Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Hizb ut Tahrir inapinga Ukoloni wa Kijeshi wa nchi za Waislamu!
- Imepeperushwa katika Pakistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hizb ut Tahrir inapinga Ukoloni wa Kijeshi wa nchi za Waislamu!
Hizb ut Tahrir inapinga Ukoloni wa Kijeshi wa nchi za Waislamu!
Umma na Majeshi Yake wanao Uwezo wa Kumaliza Mfumo Dhalimu wa Kilimwengu wa Amerika!
Tangu kuanguka kwa dhalimu Assad mnamo tarehe nane mwezi huu, makundi ya umbile la Kiyahudi yamekuwa yakishambulia ardhi ya Ash-Sham, na ndege zake zimekuwa zikivamia anga yake kwa mashambulizi ya angani yenye nia mbaya ambayo yalilenga miji kadhaa, na maeneo ya kijeshi. Mashambulizi haya yamefika katika mji wa Deir ez-Zor mashariki mwa Syria. Mashambulizi hayo ya chuki na kihalifu yamejikita kwenye maghala ya silaha, vikosi vya ulinzi wa anga katika maeneo ya kati na kusini, vituo vya utafiti wa kisayansi wa kijeshi, na viwanja vya ndege vya kijeshi, ikiwa ni pamoja na uwanja wa ndege wa kijeshi wa Al-Mazzeh viungani mwa Damascus.
Watawala wa Waislamu Wanaogopa kwamba Watafuata baada ya Kuanguka kwa Dhalimu wa Ash-Sham!
Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan ilitoa hotuba ya kisiasa mbele ya Klabu ya Al-Shabiba katika Soko Kuu la Port Sudan, mnamo siku ya Jumatatu tarehe 7 Jumada al-Akhirah 1446 H, sawia na 9/12/2024 M, yenye kichwa: “Haki ya Kisheia ya Waislamu katika dhahabu, petroli na rasilimali nyenginezo”, ambapo Ustadh Ahmed Abkar, wakili, mjumbe wa baraza la Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan alizungumza, ambapo ilifafanua mali ya umma kuwa ni vitu vilivyoainishwa na sheria kwa ajili ya jamii, vinavyoshirikiwa kati yao, na kukatazwa kumilikiwa na mtu binafsi peke yake.
Baada ya Kukombolewa Damascus, Ukombozi wa Palestina Utakuwa chini ya Bendera ya Khilafah Rashida kwa Idhini ya Mwenyezi Mungu.
Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir/Wilayah ya Sudan ilifanya Jukwaa la Kila Mwezi la Masuala ya Ummah, mnamo siku ya Jumamosi, tarehe 5 Jumada Al-Akhir 1446 H sawia na tarehe 7 Disemba 2024 M lenye kichwa: “Wingi wa Majeshi na Wanamgambo ni Ishara ya Kuangamia kwa Dola, kwa hivyo ni ipi Njia ya Kutokea?”
Asharq Al-Awsat ilichapishwa mnamo tarehe 8 Disemba 2024: (Utawala wa Assad umeanguka: Upinzani wa Syria umetangaza leo, Jumapili, kwamba umeikomboa Damascus na kuupindua utawala wa miaka 24 wa Rais Bashar al-Assad. Taarifa ya upinzani kwenye televisheni ya taifa ilisomeka: “Sifa zote ni za Mwenyezi Mungu, mji wa Damascus umekombolewa na dhalimu Bashar al-Assad amepinduliwa.” Upinzani uliongeza kuwa wafungwa wote wameachiliwa huru.)
Ripoti kuhusu jibu la swali lililotolewa na Amiri wa Hizb ut Tahrir, mwanachuoni mkubwa Ata bin Khalil Abu Al-Rashtah, Mwenyezi Mungu amhifadhi, kuhusu matukio ya Syria na kuanguka kwa utawala wa Assad.
Kisimamo jijini Copenhagen Kusherehekea Kuanguka kwa Utawala wa Assad!