Alhamisi, 29 Muharram 1447 | 2025/07/24
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Hizb ut Tahrir / Malaysia (HTM) Ripoti Maalum juu ya Maandamano na Kukabidhi Risala kwa Ubalozi wa Uswidi na Uholanzi

Kufuatia matukio mawili tofauti yaliyohusisha kitendo cha kinyama na cha uoga cha kutusi kupitia kuchoma moto nakala ya Quran, Hizb ut Tahrir/Malaysia (HTM) ilifanya maandamano ya amani na kuwasilisha risala za maandamano kwa Balozi za Uswidi na Uholanzi jijini Kuala Lumpur.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir Wilayah Pakistan Kampeni kwa Kichwa “Rudisheni Khilafah” kwa mnasaba wa Kumbukumbu ya Miaka 102 ya Kuanguka Khilafah

Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan imeandaa kampeni kwa kichwa “Rudisheni Khilafah” katika mitandao ya kijamii kwa mwezi mzima wa Rajab 1444 Hijri, kwa mnasaba wa kumbukumbu ya miaka 102 ya kuanguka dola ya Kiislamu – Khilafah – kwa wakoloni makafiri.

Soma zaidi...

Al-Waqiyah TV: Kampeni Pana yenye Kichwa “Je, Khilafah Inasimamishwa Vipi?”

Tarehe mosi ya Rajab Al-Muharram mwaka huu wa 1444 Hijria, kampeni yetu itazinduliwa katika chaneli ya Al-Waqiyah ili kuwakumbusha Waislamu yale ambayo Mwenyezi Mungu amewaamrisha juu ya kazi ya kuregesha maisha kamili ya Kiislamu na kusimamisha Khilafah Rashidah ya pili kwa njia ya Utume ambayo Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw) alitubashiria.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu