Jumanne, 09 Ramadan 1445 | 2024/03/19
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

بسم الله الرحمن الرحيم

Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir:

Kampeni ya Kitengo cha Wanawake katika Kumbukumbu ya Miaka 102 ya Kuvunjwa Khilafah

 “Mabadiliko ya Kweli ni kwa kupitia Ulinganizi wa Khilafah Pekee”

"Je, Khilafah ni Ndoto Isiyowezekana?"

Ili kufuatilia Matangazo ya Moja kwa Moja

Bonyeza Hapa

Video ya Uzinduzi wa Kampeni

Dunia iko katika machafuko. Nchi zinatumbukia katika mgogoro baada ya mgogoro chini ya tawala zilizoundwa na binadamu - ambazo zote zimethibitisha kutokuwa na uwezo wa kutatua matatizo ya binadamu. Umaskini, njaa, mauaji ya halaiki, uonevu, ufisadi, vita visivyo na maana, ukaliaji kimabavu, kusambaratika kwa familia, kuenea kwa uhalifu, unyanyasaji dhidi ya wanawake, migogoro ya afya na elimu, maisha yenye uharibifu, na matatizo mengine yanayokumba nchi kutoka mashariki hadi magharibi. Je, tutayamaliza vipi haya yote? Je, tunatokaje kwenye kinamasi hiki?

Mabadiliko ya kweli hayawezi kupatikana kwa kurudisha mzunguko wa mifumo iliyofeli - demokrasia au mengineyo. Mabadiliko haya hayawezi kufikiwa kwa kutoa tu marekebisho ya sehemu au suluhu za viraka kwa mifumo hii ya sasa yenye kasoro. Badala yake, inahitaji mabadiliko makubwa, ya msingi na ya kina.

Inahitaji kuzaliwa kwa mfumo badali unaobeba masuluhisho ya kihakika kwa matatizo ya binadamu, Inatutaka sisi kama Waislamu kuregea katika yale ambayo Mwenyezi Mungu ametuitia kwayo: Hukmu na mfumo Wake... na kuutabanni ujumbe wa Uislamu... ili kuasisi uongozi wa kweli kwa ajili ya wanadamu...

Khilafah kwa njia ya Utume

Katika mwezi wa Rajab, Kitengo cha Wanawake katika Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir kinazindua kampeni ya kimataifa yenye kichwa:

"Mabadiliko ya Kweli ni kwa kupitia Ulinganizi wa Khilafah Pekee"

Kampeni hii itaonyesha jinsi Khilafah kwa njia ya Utume itakavyozihuisha nchi za Kiislamu na kuzitoa katika hali ya machafuko na hasara zinamoishi, na kuonyeesha dhima iliyo juu yao ya kuleta mabadiliko ya kweli katika nchi zao na dunia kwa jumla. Kampeni hii pia itadhihirisha iwapo mabadiliko msingi na kusimamishwa kwa Khilafah ni ndoto tu au ni uhalisia unaoweza kufikiwa.

Tunatoa wito kila mtu anayetaka kuona mustakabali mwema kwa nchi za Kiislamu na ulimwengu huu, kuunga mkono kampeni hii muhimu, ambayo inaweza kufuatiliwa katika anwani zifuatazo:
FB – QANITATHT2
Twitter – @WSHARIAHA
Instagram – @WOMEN_SHARIA

Dkt. Nazreen Nawaz

Mkurugenzi wa Kitengo cha Wanawake katika Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir

Jumatatu, 01 Rajab Tukufu 1444 H – 23 Januari 2023 M

- Kufuatilia Kampeni Hii kwa Lugha Nyenginezo -

Kiarabu Kiingereza
Kituruki Kijerumani
Kiurdu  Fuatilia na Usambaze

 

Ushiriki wa Kitengo cha Wanawake cha Hizb ut Tahrir katika Ardhi Iliyobarikiwa - Palestina

Katika Amali za Kumbukumbu ya Miaka 102 ya Kuvunjwa Khilafah

Jumapili, 28 Rajab 1444 H - 19 Februari 2023 M

Kalima ya Dkt. Nazreen Nawaz

Mkurugenzi wa Kitengo cha Wanawake katika Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir

Kwa Mnasaba wa Kumbukumbu ya Miaka 102 ya Kuvunjwa Dola ya Khilafah

Jumatatu, 01 Rajab Tukufu 1444 H – 23 Januari 2023 M

- Alama Ishara za Kampeni -

#ReturnTheKhilafah

#KhilafaBringsRealChange

#YenidenHilafet

#HakikiDeğişimHilafetle

#Time4Khilafah

#TurudisheniKhilafah

#بالخلافة_يحصل_التغيير_الحقيقي

#كيف_تقام_الخلافة

#أقيموا_الخلافة

Ni Nini Kitaleta Mabadiliko ya Kweli katika Ulimwengu wa Kiislamu?

WQYA WS PNL PSTR 110223 EN

Ardhi za Waislamu zimekumbwa na mlima wa migogoro na matatizo. Umaskini uliokithiri, ukosefu wa ajira kwa wingi, udikteta dhalimu, uhalifu, kuvunjika kwa familia, unyanyasaji dhidi ya wanawake, miondoko ya maisha yenye uharibifu, vijana wa Kiislamu kuwa mbali na Dini yao, na mengine mengi yanalisibu eneo hili, kwa kuakisi kile kinachoendelea katika nchi mbalimbali duniani.

Kufuatia Mapinduzi ya Kiarabu, wengi walikuwa na matumaini ya macheo mapya ya ustawi, usalama na uadilifu kuenea katika ardhi za Kiislamu.

Hata hivyo, la kusikitisha hili halikutokea.

Mjadala huu wa jopo utashughulikia jinsi mabadiliko ya kweli yanaweza kusababishwa katika ulimwengu wa Kiislamu na kile kinachohitajika ili kutatua migogoro mingi na matatizo ambayo watu wanakabiliana nayo katika eneo hili.

WQYA WS PNL PSTR 110223 EN

Ili Kusoma Taarifa ya Kitengo cha Wanawake

Ambayo Ilitangaza Kuzinduliwa kwa Kampeni Yake ya Kimataifa

Katika Kumbukumbu ya Miaka 102 ya Kuvunjwa Dola ya Khilafah

Kwa Anwani:

“Mabadiliko Halisi ni kwa kupitia Ulinganizi wa Khilafah PEKEE”

Jumatatu, 01 Rajab Tukufu 1444 H – 23 Januari 2023 M

Bonyeza Hapa

Bonyeza Hapa Kufuatilia Kampeni ya Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir:

Angazo la Amali za Kimataifa za Hizb ut Tahrir katika Kumbukumbu ya Kuvunjwa Dola ya Khilafah 1444 H – 2023 M

- Matoleo -

Kitengo cha Wanawake cha Hizb ut Tahrir Wilayah ya Tunisia

Mustakabali wa Vizazi vya Vijana nchini Tunisia...

Pazia la Sheria Fisadi na Mfumo wa Elimu Uliofeli Yaonyesha Mgogoro wa Kimfumo

07 Rajab 1444 AH - 29 January 2023 CE

- Taarifa kwa Vyombo vya Habari -

Kitengo cha Wanawake

katika Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir

 

 

Kifungo, Kutengwa, Hakuna wa Kunusuru!! 

Jumatano 17 Rajab 1444 H - 08 Februari 2023

Kitengo cha Wanawake

katika Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir

Je, Lini Wanawake wa Kiislamu Watampata Mwenye Kuitikia Wito wao?!

Jumatatu 8 Rajab 1444 H - 30 Januari 2023 M

- Makala, Habari na Maoni -

Umma wa Uislamu Hivi Karibuni Utachukua Nafasi Yake ya Juu Je, Wito wa Watoto Wake Wenye Ikhlasi Utaitikiwa?

Zeina As-Samit

28 Rajab 1444 H - 19 Februari 2023 M

Majanga ya Kimaumbile yanazidi kuwa mabaya kwa kukosekana Khilafah

Imrana Mohammad

27 Rajab 1444 H - 18 Februari 2023

Enyi Waislamu, Komesheni Machafuko Duniani kwa Kuwa na Tawakkul kwa Mwenyezi Mungu (swt) na Shariah Yake na Fanyeni Kazi kwa ajili ya Khilafah

Sarah Mohammed – Amerika

26 Rajab 1444 H - 17 Februari 2023

“...Na ilikuwa ni haki juu yetu kuwanusuru Waumini.”

Bara’ah Manasrah

25 Rajab 1444 H - 16 Februari 2023

Mtoto asiye na Mfumo wa Kifamilia yuko Hatarini kama ulivyo Hatarini Ummah usio na Mfumo wake wa Kutawala

Yasmin Malik

23 Rajab 1444 H - 14 Februari 2023

Kuhitimu kwa Maelfu ya Waliohifadhi Qur'an hakutabadilisha hali ya Umma wa Kiislamu isipokuwa wawe miongoni mwa wale wanaofanya kazi ya kusimamisha Khilafah

Mennah Tahir

17 Rajab 1444 H - 08 Februari 2023

[لِيُظْهِرَهُ عَلَى الدِّينِ كُلِّهِ]

“...ipate kushinda dini zote.”

Zeina As-Samit

15 Rajab 1444 H - 06 Februari 2023

Ufahamu wa Kina (Basira) na Mtazamo wa Mbele (Firasa) Unataka Ulinganizi wa Khilafah

Zehra Malik

13 Rajab 1444 H - 04 Februari 2023

Palestina baina ya Njia ya Sharia ya Mabadiliko na Masuluhisho ya Kivipande

Bayan Jamal

11 Rajab 1444 H - 02 Februari 2023

Vijana Wamekwama ndani ya Janga la Kibepari

Fatima Musab

9 Rajab 1444 H - 31 Januari 2023

Utekelezaji wa Sharia Hatua kwa Hatua sio Njia ya Mabadiliko ya Kweli 

Muslimah Ash-Shami (Um Suhaib)

7 Rajab 1444 H - 29 Januari 2023

Umwagaji damu wa Hivi Punde huko Jenin, Palestina

Manal Bader

5 Rajab 1444 H - 27 Januari 2023

Mabadiliko Yanayokusudiwa

Rana Mustafa

5 Rajab 1444 H - 27 Januari 2023

Watoto wa Kiislamu ndio Walengwa wa Michezo ya Bunduki ya Maadui wa Uislamu

Imrana Mohammad

5 Rajab 1444 H - 27 Januari 2023

 Kutokomeza Giza la Demokrasia

Tsuroyya Amal Yasna

3 Rajab 1444 H - 25 Januari 2023 M

 

 

 

Andika maoni

Hakikisha umejaza (*) habari zinazohitajika palipoashiriwa. Kodi za HTML haziruhusiwi.

rudi juu

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu