Jumanne, 09 Ramadan 1445 | 2024/03/19
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

بسم الله الرحمن الرحيم

Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir:

Angazo la Amali za Kimataifa za Hizb ut Tahrir katika Kumbukumbu ya Kuvunjwa Dola ya Khilafah 1444 H – 2023 M

Katika mwezi wa Rajab Tukufu wa mwaka huu 1444 H - 2023 M, na kwa mnasaba wa kumbukumbu chungu ya wahalifu wa Kiarabu na wa Kituruki, kuivunja dola ya Uislamu iliyoasisiwa na bwana wa Mitume wote, Muhammad (saw), na maswahaba zake watukufu, Mwenyezi Mungu awawie radhi, na kuundoa mfumo wa utawala wa Kiislamu (Khilafah) mnamo tarehe 28 Rajab Tukufu mwaka 1342 H sawia na 03/03/1924 M, Hizb ut Tahrir inapanga amali kubwa za halaiki katika nchi zote inamofanyia kazi, na sisi katika afisi kuu ya habari ya Hizb ut Tahrir, kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, kupitia ukurasa huu, tutaangazia amali hizo kwa ukamilifu, tukimuomba Mwenyezi Mungu (swt) aharakisha kusimamisha kwa dola ya Khilafah Rashida ya pili kwa njia ya Utume, ahadi ya Mwenyezi Mungu Mtukufu:

((وَعَدَ اللَّهُ الَّذِينَ آمَنُوا مِنكُمْ وَعَمِلُوا الصَّالِحَاتِ لَيَسْتَخْلِفَنَّهُمْ فِي الْأَرْضِ كَمَا اسْتَخْلَفَ الَّذِينَ مِن قَبْلِهِمْ وَلَيُمَكِّنَنَّ لَهُمْ دِينَهُمُ الَّذِي ارْتَضَى لَهُمْ وَلَيُبَدِّلَنَّهُم مِّن بَعْدِ خَوْفِهِمْ أَمْنًا يَعْبُدُونَنِي لَا يُشْرِكُونَ بِي شَيْئًا وَمَن كَفَرَ بَعْدَ ذَلِكَ فَأُولَئِكَ هُمُ الْفَاسِقُونَ)).

“Mwenyezi Mungu amewaahidi wale walio amini miongoni mwenu na wakatenda mema, ya kwamba atawafanya makhalifa katika ardhi kama alivyo wafanya makhalifa wa kabla yao, na kwa yakini atawasimamishia Dini yao aliyo wapendelea, na atawabadilishia amani baada ya khofu yao. Wawe wananiabudu Mimi, wala wasinishirikishe na chochote. Na watao kufuru baada ya hayo, basi hao ndio wapotovu.” [An-Nur: 55]

Jumatatu, 01 Rajab Tukufu 1444 H – 23 Januari 2023 M

 Fuatilia na Usambaze

 

Kalima ya Mhandisi Salah Eddine Adada (Abu Muhammad)

Mkurugenzi wa Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir

Kwa Mnasaba wa Kumbukumbu ya Miaka 102 ya Kuvunjwa Dola ya Khilafah

Kalima ya Dkt. Nazreen Nawaz

Mkurugenzi wa Kitengo cha Wanawake katika Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir

Kwa Mnasaba wa Kumbukumbu ya Miaka 102 ya Kuvunjwa Dola ya Khilafah

Bofya hapa ili kufuata Amali za Kongamano Hitimishi

ikiwemo Hotuba ya Amiri wa Hizb ut Tahrir Mwanachuoni Mkubwa Ata Bin Khalil Abu Al-Rashtah kwa mnasaba wa kumbukumbu ya miaka 102 ya kuvunjwa Khilafah.

Jumapili, 28 Rajab 1444 H - 19 Februari 2023 M

DVD ya Kampeni ya Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir:

Amali za Kimataifa za Hizb ut Tahrir katika Kumbukumbu ya Kuvunjwa Dola ya Khilafah 1444 H – 2023 M

Ili Kupakuwa DVD:

BONYEZA HAPA

#Time4Khilafah #EstablishKhilafah
#ReturnTheKhilafah أقيموا_الخلافة#
#KhilafahBringsRealChange #بالخلافة_يحصل_التغيير_الحقيقي
#YenidenHilafet كيف_تقام_الخلافة#
#TurudisheniKhilafah #HakikiDeğişimHilafetle

Kitengo cha Wanawake cha Hizb ut Tahrir Wilayah ya Tunisia

Mustakabali wa Vizazi vya Vijana nchini Tunisia...

Pazia la Sheria Fisadi na Mfumo wa Elimu Uliofeli Yaonyesha Mgogoro wa Kimfumo

07 Rajab 1444 AH - 29 January 2023 CE

 

Kuvunjwa kwa Khilafah mnamo Machi 3, 1924 M ni Janga Kuu la Karne!

11 Shaaban 1444 H - 03 Machi 2023 M

Katika Kumbukumbu ya Kuvunjwa Khilafah, Yemen na Nchi Zote za Kiislamu zimo katika Misiba. Kumbukumbu Hii na iwe ni Kichocheo cha Hatua ya Kuisimamisha

28 Rajab 1444 H - 19 Februari 2023 M

Hizb ut Tahrir / Kenya Yaandaa Maandamano Baridi kwenye Kumbukumbu ya Miaka 102 ya Kuanguka kwa Khilafah

26 Rajab 1444 H - 17 Februari 2023 M

Kongamano la kila Mwaka la Khilafah 2023 M

24 Rajab 1444 H - 15 Februari 2023

Palestina Inakombolewa kwa Majeshi, Sio kwa Makongamano na Sheria ya Kimataifa

23 Rajab 1444 H - 14 Februari 2023 M

Hizb ut Tahrir ni Chama cha Kimfumo na Kisiasa ambacho Kinaona kuwa ni Haramu Kubeba Silaha kwa ajili ya Kusimamisha Khilafah kwa Njia ya Utume. Kutafuta Nusrah kwa ajili ya Kusimamisha Tena Khilafah ni Faradhi

20 Rajab 1444 H - 11 Februari 2023

Kifungo, Kutengwa, Hakuna wa Kunusuru!!

17 Rajab 1444 H - 08 Februari 2023

Katuni ya Kuchukiza kutoka kwenye Gazeti la Kejeli la Ufaransa Inaonyesha Kuporomoka kwa Maadili na Chuki za Magharibi kwa Waislamu

17 Rajab 1444 H - 08 Februari 2023

Kukamatwa Miongoni mwa Wanachama wa Hizb ut Tahrir

Je, Vinywa Visemavyo Ukweli Huzibwa Kwa Manufaa ya Nani?!

12 Rajab 1444 H - 03 Februari 2023

Hennis-Plasschaert: Ufisadi nchini Iraq: “Ni wa Kimfumo”

12 Rajab 1444 H - 03 Februari 2023

Kati ya Kuwakandamiza Waislamu na Kuwatishia wa Mabaniani kwa Waislamu, Serikali ya Modi inaandaa Kampeni yake ya Uchaguzi Ujao

11 Rajab 1444 H - 02 Februari 2023

Je, Lini Wanawake wa Kiislamu Watampata Mwenye Kuitikia Wito wao?!

08 Rajab 1444 H - 30 Januari 2023

Ushujaa wa Watu wa Ardhi Iliyobarikiwa ya Palestina Hauwezi Kushutumiwa!

07 Rajab 1444 H - 29 Januari 2023

Uchomaji Quran! - Serikali Zinahusika kwa Makosa Haya Yanayojirudia

07 Rajab 1444 H - 29 Januari 2023

Bila Dinari za Dhahabu na Dirham za Fedha za Uislamu, Sarafu Yetu Daima Itaporomoka Mbele ya Dolari. Utawala wa Dolari Unadumishwa na IMF, Mlinzi wa Mfumo wa Fedha wa Kimataifa wa Kimagharibi

07 Rajab 1444 H - 29 Januari 2023 M

Enyi Watu wa Yemen: Huu ni Mwezi wa Rajab ambao kwao Uislamu Uliingia Nchini Mwenu Basi Inukeni na Mfanye Kazi Kuirudisha katika Uhalisia wa Maisha Yenu

03 Rajab 1444 H - 25 Januari 2023

Ziara ya Netanyahu ni Shambulizi kwa Watu wa Jordan

03 Rajab 1444 H - 25 Januari 2023

Kitengo cha Wanawake katika Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir Chazindua Kampeni ya Kimataifa:

“Mabadiliko Halisi ni kwa kupitia Ulinganizi wa Khilafah PEKEE”

01 Rajab 1444 H - 23 Januari 2023 M

Uchomaji Quran ni Kielelezo cha Sera ya miaka Mingi dhidi ya Uislamu

01 Rajab 1444 H - 23 Januari 2023 M

Serikali Inataka Kuudhuru Ulinganizi wa Khilafah kwa Kutumia Somoy TV Kuikashifu Hizb ut Tahrir kwa Habari za Uzushi

01 Rajab 1444 H - Januari 2023 M

Amiri wa Hizb ut Tahrir Tafuteni Kheri kutoka kwa Wanajeshi wa Waislamu

Muhammad Abdul Malik

16 Shaaban 1444 H - 08 Machi 2023 M

Umma wa Uislamu Hivi Karibuni Utachukua Nafasi Yake ya Juu Je, Wito wa Watoto Wake Wenye Ikhlasi Utaitikiwa?

Zeina As-Samit

28 Rajab 1444 H - 19 Februari 2023 M

Majanga ya Kimaumbile yanazidi kuwa mabaya kwa kukosekana Khilafah

Imrana Mohammad

27 Rajab 1444 H - 18 Februari 2023

Enyi Waislamu, Komesheni Machafuko Duniani kwa Kuwa na Tawakkul kwa Mwenyezi Mungu (swt) na Shariah Yake na Fanyeni Kazi kwa ajili ya Khilafah

Sarah Mohammed – Amerika

26 Rajab 1444 H - 17 Februari 2023

“...Na ilikuwa ni haki juu yetu kuwanusuru Waumini.”

Bara’ah Manasrah

25 Rajab 1444 H - 16 Februari 2023

 Mtoto asiye na Mfumo wa Kifamilia yuko Hatarini kama ulivyo Hatarini Ummah usio na Mfumo wake wa Kutawala

Yasmin Malik
Mwanachama wa Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir

23 Rajab 1444 H - 14 Februari 2023 

Mabadiliko kama Yalivyofafanuliwa katika Quran na Sunnah

Imrana Mohammed

21 Rajab 1444 H - 12 Februari 2023

Matetemeko ya Ardhi katika Ardhi za Waislamu - Ukumbusho wa Nguzu za Mwenyezi Mungu na Kufeli kwa Watawala wa Sasa

Younes Piskorczyk

21 Rajab 1444 H - 12 Februari 2023

Kitambulisho Tata katika Da'wah Maarufu: Kuficha Njia ya Mwamko wa Kiislamu Alikojoa kwenye kisima cha Zam-zam ili awe Maarufu
(Methali ya Kiarabu)

Dkt. Fika Komara

19 Rajab 1444 H - 10 Februari 2023

Badala ya Kuwaita Mabalozi, Viota vya Ugaidi, hadi Wizarani, Wanapaswa Kufukuzwa Mara Moja

Ercan Tekinbaş

17 Rajab 1444 H - 08 Februari 2023

Musharraf atajibu kwa Uhaini wake katika Mahakama ya Mwenyezi Mungu (swt)

 Je, Watawala wa Sasa Watazingatia?

Naveed Zafar – Wilayah Pakistan

16 Rajab 1444 H - 07 Februari 2023

Bangladesh Yahitaji Dola ya Khilafah ili kuwa Huru kutokana na Utumwa wa Ukoloni Mamboleo

Muhammad Shiraz

16 Rajab 1444 H - 07 Februari 2023

Ikomboeni Kashmir kutoka kwa Makucha ya Modi au Kaeni Kando na Utawala!

Muhammad Yasir – Wilayah Pakistan

15 Rajab 1444 H - 06 Februari 2023

 Kwa Wanajeshi Wenye Ikhlasi wa Mwenyezi Mungu (swt), Kutoka kwa Ummah wa Muhammad (saw)

Umar Tariq – Wilayah Pakistan

11 Rajab 1444 H - 02 Februari 2023 M

Utekelezaji wa Sharia Hatua kwa Hatua sio Njia ya Mabadiliko ya Kweli

Muslimah Ash-Shami (Um Suhaib)

07 Rajab 1444 H - 29 Januari 2023

Mabadiliko Yanayokusudiwa

Rana Mustafa

05 Rajab 1444 H - 27 Januari 2023

Umwagaji damu wa Hivi Punde huko Jenin, Palestina

Manal Bader

05 Rajab 1444 H - 27 Januari 2023

Enyi Waislamu, Kuvunjwa kwa Khilafah, Ngao Yetu, ni Ukumbusho Mchungu wa Haja ya Haraka ya Kuisimamisha tena

Musab Umair - Wilayah Pakistan

01 Rajab Al-Muharram 1444 H - 23 Januari 2023 M

Imam kutoka Crimea Afungwa Miaka 17 Jela kwa Kulingania Uislamu!

Eldar Khamzin 

03 Rajab 1444 H - 25 Januari 2023 M

Wakati wa Enzi ya Watawala Waovu, Matukufu ya Uislamu Yanakiukwa

Muhammad Salim – Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina)

01 Rajab 1444 H - 23 Januari 2023 M

Bonyeza Hapa Kufuatilia Kampeni ya Kimataifa ya Kitengo cha Wanawake katika Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir:

“Mabadiliko ya Kweli ni kwa kupitia ULINGANIZI wa KHILAFA PEKEE”

Wilayah Pakistan: Unganisheni Ardhi za Waislamu!

Bonyeza Hapa

 

 

Hizb ut Tahrir / Ardhi Iliyobarikiwa - Palestina
Hizb ut Tahrir / Denmark
Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon

Hizb ut Tahrir / Malaysia

Sehemu ya Pili

Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan

 

 Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan

Hizb ut Tahrir / Uholanzi
Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia
 Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki

 Al-Waqiyah TV: Kampeni Pana yenye Kichwa

“Je, Khilafah Inasimamishwa Vipi?”

Rajab 1444 H –  Januari / Februari 2023 M

Bonyeza Hapa kwa Maelezo Zaidi

Al-Waqiyah TV Widespread Campaign titled  How to Establish the Khilafah?

 

 

Andika maoni

Hakikisha umejaza (*) habari zinazohitajika palipoashiriwa. Kodi za HTML haziruhusiwi.

rudi juu

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu