- |
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- ukubwa wa font punguza ukubwa wa font zidisha ukubwa wa font
بسم الله الرحمن الرحيم
Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Ewe Mwenyezi Mungu! Jaaliya Ukombozi wa Kashmir uwe Utangulizi wa Ukombozi wa Palestina!
Mabadilishano ya makombora kati ya Pakistan na India yanaendelea katika njia nyingi za kusitisha mapigano huko Kashmir baada ya India kushambulia kwa mabomu maeneo tisa ndani ya Pakistan usiku wa Mei 6, ambayo ilisema ni "miundombinu ya kigaidi iliyohusika na shambulizi la silaha huko Kashmir" mwezi uliopita. Suluhisho la kivitendo la kusonga mbele haliwezi kuwa mzozo mdogo, lakini lazima liwe ukombozi wa kina wa maeneo yanayokaliwa kimabavu. Jihad haiishii kwenye kupata baadhi ya mafanikio au kukamata askari wachache, bali ni lazima imalizie kwa kuzikomboa ardhi za Waislamu na kuinua neno la Mwenyezi Mungu Mtukufu. Kushindwa kufanya hivyo ni kumsaliti Mwenyezi Mungu Mtukufu Mtume wake (saw), na waumini. Kwa hiyo, ni lazima tupigane vita kwa nguvu zetu zote, kwa utiifu kamilifu kwa Mwenyezi Mungu (swt). Ni lazima tutangaze kusimamishwa kwa Khilafah Rashida ya pili kwa njia ya Mtume, na tushiriki katika jihad huko Kashmir, kwani huu ni utangulizi wa ukombozi wa Palestina.
#Time4Khilafah
Imetolewa na: Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah Pakistan
Alhamisi, 10 Dhu al-Qi'dah 1446 H sawia na 08 Mei 2025 M
#طوفان_الأقصى
#الجيوش_إلى_الأقصى
#الأقصى_يستصرخ_الجيوش
#AksaTufanı
#OrdularAksaya
#ArmiesToAqsa
#AqsaCallsArmies
Kwa Maelezo zaidi, Zuru Mitandao ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan
Tovuti Rasmi: Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan
Tovuti Rasmi ya Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan
Facebook: Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan
Akaunti ya X: Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan
Akaunti ya Instagram ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan