Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki: Mkutano wa Kila Wiki wa Vyombo vya Habari - 28/01/2025
- Imepeperushwa katika Uturuki
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki: Mkutano wa Kila Wiki wa Vyombo vya Habari - 28/01/2025
Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki: Mkutano wa Kila Wiki wa Vyombo vya Habari - 28/01/2025
Kwa kuzingatia mauaji ya kikatili ya halaiki ambayo yamekuwa yakiendelea kwa zaidi ya miezi kumi na tano, yanayofanywa na umbile halifu la Kiyahudi dhidi ya Waislamu wasio na ulinzi katika Ukanda wa Gaza, ambayo yamesababisha kuuawa shahidi na kujeruhiwa kwa Waislamu zaidi ya 170,000, wanaume na wanawake hadi sasa, Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Uturuki iliandaa amali kubwa kote nchini Uturuki chini ya Kichwa: “Usiisahau Gaza wala Usikubali Kusahauliwa Kwake!”
Kama vile Yalivyo anza na “Ni ya Mwenyezi Mungu,” lazima Yamalizike na “Ni ya Mwenyezi Mungu”!
Hizb ut Tahrir/ Wilayah ya Uturuki iliandaa baada ya swala ya Ijumaa matembezi na visimamo vikubwa katika miji 16 kote nchini Uturuki, kama ambavyo Hizb pia iliandaa makongamano, vikao na mikutano mikubwa chini ya kichwa: “Mwaka Mzima umepita, na Nchi 57 Hazijachukua Hatua Yoyote!”
Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Uturuki iliandaa, baada ya swala ya Ijumaa, visimamo katika mji wa Ankara Na mji wa Van chini ya kichwa. “Khiyana ya Watawala Yaiuwa Gaza!”
Kwa kuzingatia mauaji ya kikatili (mauaji ya halaiki) ambayo yamekuwa yakiendelea kwa muda wa miezi saba, yanayofanywa na umbile halifu la Kiyahudi dhidi ya Waislamu wasio na ulinzi katika Ukanda wa Gaza, ambayo yamesababisha kuuawa shahidi na kujeruhiwa kwa Waislamu zaidi ya elfu 130, wanaume na wanawake hadi sasa, Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki inaandaa amali kubwa za halaiki kote nchini Uturuki kuwataka Waislamu waungane chini ya bendera ya Khalifa mmoja ambaye atakusanya mara moja majeshi ya kuwanusuru Waislamu wanaodhulumiwa katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina).
Kalima kutoka kwa Ustadh Mahmut Kar, Mkuu wa Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah Uturuki, akiwawajibisha wahalifu waliowasha moto wa ufisadi katika mji wa Uturuki wa Kayseri baina ya wahamiaji wa Syria na wakaazi wa Uturuki ambao umeenea hadi miji mingi ya Uturuki.
Kwa mnasaba wa kumbukumbu ya miaka 99 ya kuuawa shahidi Sheikh Said Biran al-Kurdi, Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki iliandaa kongamano lililopewa kichwa la “Urithi wa Sheikh Said” katika ukumbi wa mikutano wa Msikiti wa Salah al-Din al-Ayyubi mjini Diyarbakir.
Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Uturuki iliandaa maandamano makubwa ya usiku katika maeneo 25 ya Uturuki kupinga mauaji ya kinyama haswa mjini Rafah.
Kwa kuzingatia mauaji ya kikatili (mauaji ya halaiki) ambayo yamekuwa yakiendelea kwa miezi saba, yanayofanywa na umbile halifu la Kiyahudi dhidi ya Waislamu wasio na ulinzi katika Ukanda wa Gaza, ambayo yamesababisha kuuawa shahidi na kujeruhiwa kwa Waislamu zaidi ya 115,000, wanaume na wanawake, hadi sasa, Hizb ut Tahrir/Wilayah ya Uturuki inaandaa amali kubwa za halaiki katika maeneo 17 tofauti tofauti nchini Uturuki.