Hakuna Udhuru kwa Majeshi ya Waislamu Leo Lazima Wataharaki au Mwenyezi Mungu (swt) Atawabadilisha
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Huku vita vya Gaza vikiingia siku yake ya 49, vikosi vya Mayahudi vilizidisha uvamizi wao kwenye maeneo mbali mbali katika Ukanda wa Gaza. Walivamia mahospitali kabla ya usitishaji vita wa muda kuanza kutekelezwa, na kuacha makumi kadhaa ya maiti na majeruhi.