Ni Uislamu Tu Ndio Wenye Suluhisho la Kweli kwa Usalama wa Chakula kwa Afrika
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kuanzia Septemba 5 hadi 8, 2023 Tanzania ilikuwa mwenyeji wa Mkutano wa 13 wa Jukwaa la Mifumo ya Chakula Afrika. Mkutano huo ulioendeshwa ana kwa ana, na mtandaoni ulikuwa na wazungumzaji zaidi ya 350, zaidi ya wahudhuriaji 3,000 kutoka zaidi ya nchi zaidi 70.