Umoja wa Ummah wa Kiislamu Si Rasmi au wa Kinadharia Tu, Khilafah Ni Umbo Lake la Kivitendo
- Imepeperushwa katika Uchambuzi
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Waislamu ni Ummah mmoja, tofauti na watu wengine; Mola wao Mlezi ni Mmoja, Dini yao ni moja, Mtume wao ni mmoja, Kibla chao ni kimoja, na Kitabu chao ni kimoja.



