Vichwa Vya Habari 09/12/2020
- Imepeperushwa katika Vichwa vya Habari
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Sheikh mmoja wa Umoja wa Falme za Kiarabu ameinunua timu ya mpira wa miguu inayocheza katika ligi kuu ya Israel ambayo haina hata mchezaji mmoja wa kiarabu.



