Je, Mumeshuhudia Waziwazi Uhadaifu wa Demokrasia Nchini Zanzibar?
- Imepeperushwa katika Kenya
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Siku chache zilizopita, Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) ilitangaza kuwa mnamo 20 Machi 2016 itakuwa ndio siku ya Marudio ya Uchaguzi ambao ulikuwa umefanyika mnamo 28 Oktoba 2015.



