Vichwa vya Habari - 06/03/2020
- Imepeperushwa katika Vichwa vya Habari
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Maafisa wa Uturuki walisema kwamba mtu mmoja alijeruhiwa vibaya baada ya vikosi vya usalama vya Ugiriki kutumia silaha za moto kuwapiga wahamiaji waliokua wamekusanyika katika mpaka mnamo Jumatano.



