Jumapili, 06 Muharram 1448 | 2026/06/21
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu
kesho kutwa

kesho kutwa

Pakistan Inahitaji Sheria zinazotokana na Quran Tukufu na Sunnah ya Mtume, na sio Zinazotokana na wingi wa Thuluthi Mbili ya Wabunge

Pakistan inahitaji katiba, sheria na sera zinazotokana na Dini ya watu wake. Hizb ut Tahrir imetayarisha rasimu ya katiba inayotokana na Quran Tukufu na Sunnah. Ibara ya 1 inasema, “Aqeedah ya Kiislamu ndio msingi wa dola. Hii ina maana kwamba kuwepo kwa dola, muundo wake, uwajibikaji wake, na chochote kinachohusiana nayo lazima kiwe na msingi tu juu ya itikadi ya Kiislamu. Vile vile itikadi hii ndio msingi wa katiba na sheria, na hakuna chochote juu yake kitakachoruhusiwa isipokuwa kitokane na Aqida ya Kiislamu.” Hizb ut Tahrir inataja dalili za kina za Kiislamu kwa ibara hii na ibara zote 191 za rasimu ya katiba.

Kadhia ya Palestina ni Kadhia ya Umma wa Kiislamu, sio Jumuiya ya Kimataifa

Mkuu wa Majeshi (COAS), Jenerali Syed Asim Munir, mnamo Ijumaa, tarehe 15 Novemba 2024, alihutubia sherehe maalum ya Mazungumzo ya Margalla 2024 yaliyoandaliwa na Taasisi ya Utafiti wa Sera ya Islamabad (IPRI). COAS ilizungumza juu ya mada ‘Dori ya Pakistan katika Amani na Utulivu.’ Alisema kwamba Pakistan haitakuwa sehemu ya mzozo wowote wa kimataifa. Badala yake Pakistan itaendelea kucheza dori yake kwa amani na utulivu wa kimataifa. Pakistan daima imekuwa ikisisitiza kuanzishwa kwa dola huru ya Palestina.

Kupigana kwa Heshima, au Kutotenda kwa Udhalilifu?!

Mnamo tarehe 30 Oktoba 2024, Naim Qassem alisema katika hotuba yake ya kwanza ya video baada ya kuapishwa kama Katibu Mkuu wa kundi linaloungwa mkono na Iran, “Tofauti kati yetu na ‘Israel’ ni kwamba tunapigana kwa heshima, tukilenga kambi, jeshi, vifaru na askari, huku wao wanaua raia na watu wasio na silaha, na kuangamiza watu na majengo ya miundombinu.”

Mauaji ya Halaiki mjini Gaza Hayatamalizika hadi sisi kama Waislamu Tumalize Utegemezi wetu kwa Demokrasia

Uchaguzi wa Marekani wa 2024 ulifanyika mnamo tarehe 5 Novemba huku Donald Trump, akipata ushindi mkubwa dhidi ya Kamala Harris. Waislamu wengi nchini Marekani, kwa mara nyengine tena walishiriki katika chaguzi hizi za kidemokrasia kwa matumaini kwamba kura yao ingesaidia kumaliza mauaji ya halaiki huko Gaza. Wengine walimuunga mkono Trump, ima wakiamini katika ahadi yake kwamba angeleta amani katika eneo hilo, au “kumuadhibu” Harris na utawala wa Biden kwa kuendelea kuunga mkono na kufadhili umbile la mauaji ya halaiki la Kizayuni. Wengine walimuidhinisha Harris, wakiamini kwamba yeye ndiye ‘la hafifu ya madhara mawili’ na njia bora kwa wapinzani wa vita vya Gaza kuendeleza ajenda zao. Wengine walipiga kura zao kwa mwakilishi wa Green Party, Jill Stein na mgombea wa People's Party Cornel West, kutokana na msimamo wao thabiti wa kupinga vita na kuahidi kukomesha mauaji ya halaiki.

Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu