Jumatatu, 07 Muharram 1448 | 2026/06/22
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu
kesho kutwa

kesho kutwa

Sio kila chenye Kumetameta ni Dhahabu

Tawala dhalilifu za vibaraka zimesisitiza kuthibitisha, kwa yakini, kwamba ni tawala ambazo si za Ummah, huku Ummah ukiwa si sehemu yake. Katika kupambana waziwazi na hisia za Waislamu, zilikimbilia kumpongeza Rais Trump wa Marekani baada ya kutangazwa ushindi wake katika uchaguzi huo. Zilikimbilia kumpa majukumu yao ya utiifu na uaminifu, na kusahau kuuawa kwa watoto wa Waislamu huko Gaza, Lebanon na kwengineko katika vita vya wazi vinavyoongozwa na Amerika, kwa kutumia mali zake, huku wakisahau kauli za bwege huyu katika kuunga mkono kwake wazi kusiko na mipaka kwa Mayahudi. Je, inawezekana kutarajia kwamba zabibu zitatoka kwenye miiba?!

Vikosi vyetu vya Jeshi vimejaa Maafisa Wenye Ikhlasi, Mashujaa na Wenye uwezo. Kutananeni na Kila Mmoja Wao Ili Kuwashajiisha Kuondoa Kila Kikwazo Kinachosimama Katika Njia ya Uhamasishaji Wao Katika Kuinusuru Gaza!

Moto wa vita umeangaza anga, na jambo hilo liko wazi mithili ya usiku na mchana. Kuwanusuru Waislamu wa Gaza na Palestina hakutatokea, bila ya zana za kivita za majeshi ya Waislamu. Majeshi yetu ndiyo yalio na uwezo huu. Basi ni nini sababu, enyi Waislamu, kwamba tusikutane na maafisa wa kijeshi tunaowajua kibinafsi, na kujadiliana na kila afisa mmoja mmoja? Kwa nini tusiwatembelee ndugu wa maafisa hawa na kuwahimiza wachukue hatua za haraka? Ummah lazima uyatake majeshi yake yaondoe kila ukuta, na kushinda kila kizuizi, kinachosimama kati yao, na uharibifu wa uvamizi wa Mayahudi.

Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu