Jarida la Al-Waie: Vichwa Vikuu vya Habari vya Toleo (422-423)
- Imepeperushwa katika Afisi Kuu ya Habari
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Wanachama wa Hizb ut Tahrir/ Uingereza walishiriki katika kisimamo cha kuwanusuru Waislamu wa Uyghur mbele ya Ubalozi wa China jijini London, na Ubalozi mdogo wa China jijini Manchester, Jumamosi tarehe 13/11/2021.
Pakistan hutumia zaidi ya nusu ya ushuru unaokusanywa kwa malipo ya riba.
Hizb ut-Tahrir nchini Uswidi iliandaa kisimamo mbele ya Idara ya Uhamiaji ya Uswidi kutaka kusitishwa kwa uhamisho wa Ndugu Odiljon Jalilov,
Kikao Maalum juu ya risala iliyotumwa na Hizb ut Tahrir pamoja na ujumbe wa Mashababu wake bora kwenda kwa viongozi watano wa Taliban mwanzoni mwa mwezi Septemba 2021.
Dkt Abdul Wahid, Mwenyekiti wa Kamati Tekelezi ya Hizb ut Tahrir Uingereza, aelezea maslahi tofauti tofauti yaliyofungwa katika ajenda ya mabadiliko ya hali ya hewa - hayatokani na nia za dhati kwa ajili ya wanadamu
Wiki hii, mawaziri na wanadiplomasia kutoka sehemu mbalimbali za dunia wanakusanyika mjini Glasgow kwa ajili ya Kongamano la 26 la Nchi Wanachama wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi, linalolenga kutibu kile ambacho wengi wamekitaja kuwa "dharura ya hali ya hewa" inayoikabili sayari ya dunia.