Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 372
- Imepeperushwa katika Al-Rayah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Uingereza inashuhudia kupanda kwa kasi kwa gharama ya bidhaa za kila siku, na kusababisha ugumu mkubwa zaidi kwa maskini na wanaoishi katika mazingira magumu.
Naveed Butt Alitekwa nyara na maafisa wa Usalama wa Serikali tarehe 11 Mei 2012 Mbele ya Familia yake na majirani zake.
Majeshi ya Magharibi hupiga hesabu za vita kwa idadi vikosi vya Kiislamu vinaamini Nusra ya Mwenyezi Mungu (swt) Vikosi vya Kiislamu hutamani kufa shahidi Majeshi ya Kiislamu daima huyashinda majeshi makubwa zaidi Mwenyezi Mungu (swt) amesema,
Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Ardhi Iliyobarikiwa - Palestina inamuomboleza aliyekuwa Imam wa Msikiti wa Ibrahimi, mmoja wa wanachama wema wa Hizb ut Tahrir, Hajj Salih Abdul-Jawad Al-Razem (Abu Dhia),