Hizb ut Tahrir / Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina): "Khilafah Ndio Mwokozi Pekee wa Wanadamu."
- Imepeperushwa katika Palestina
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Khutba ya Ijumaa ya Ustadh Nasser Ridha, Mkuu wa Kamati Kuu ya Mawasiliano ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah ya Sudan
Katika mwezi wa Rajab al-Muharram mwaka huu 1443 H - 2022 M, na kwa mnasaba wa kumbukumbu chungu ya wahalifu kuiondoa dola ya Kiislamu na kukomesha nidhamu ya utawala wa Kiislamu (Khilafah) mnamo tarehe 28 Rajab al-Muharram 1342 H sawia na 03/03/1924 M, Hizb ut Tahrir inaandaa amali pana za umma katika nchi zote inamofanyia kazi
Khalifah huwatawala Waislamu kwa yale yote yaliyoteremshwa na Mwenyezi Mungu (swt).
Tuko katika umasikini licha rasilimali zetu nyingi.