Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 347
- Imepeperushwa katika Al-Rayah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Vichwa Vikuu vya Toleo 347
Vichwa Vikuu vya Toleo 347
Rufaa kutoka mashababu wa Hizb ut Tahrir katika eneo la A'zaz kupinga uhalifu wa kukamatwa kwa wabebaji ulinganizi katika mji wa Idlib mikononi mwa kundi la Hay’at Tahrir Al-Sham.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria katika mji wa Al-Atareb viungani mwa Halfa iliandaa kisimamo baada ya swala ya Ijumaa kwa anwani: "Kwa Watu Wetu wa Daraa; Silaha Yenu ni Heshima Yenu Basi Jihadharini na Kuisalimisha!"
Vichwa Vikuu vya Toleo 346
Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria iliandaa kisimamo katika kambi za Atma Magharibi mkabala na kijiji cha Ataa kwa anwani: "Hakika Limekwisha Semwa na Watu Wetu Huko Hauran;Tutazisalimisha Roho na Wala Hatutazisalimisha Silaha!"