Unyanyasaji wa Wanafunzi wa Pakistan Utamalizika chini ya Mahakama na Nidhamu ya Kijamii za Khilafah
- Imepeperushwa katika Pakistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mnamo 30 Juni 2020, shule moja ya kibinafsi jijini Lahore iliwafuta kazi waajiriwa waliotuhumiwa kwa kuwanyanyasa kimapenzi wanafunzi wengi wa kike.