Kuanguka kwa Kile Kilichosalia cha Jani la Mtini Lililochakaa ambalo Hadhara ya Magharibi Inafikiri Inaficha Aibu Yake!
- Imepeperushwa katika Afisi Kuu ya Habari
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kazi ya kulizika zimwi hili ni wajibu kwa Umma wa Kiislamu, kwani ndio mmiliki wa hadhara badali iliyostaarabika ambayo inaweza kwa sifa zote kuuendeleza wanadamu kwa maadili ya kibinadamu ambayo Mwenyezi Mungu amewachagulia watu wote. Umma lazima uasisi chombo cha kisiasa ambacho kinawakilisha hadhara ya kimungu ya Kiislamu ambacho, kwa msaada wa Mwenyezi Mungu, itaiondoa batili na kuipa ushinda haki. Hivyo basi, watu wote wenye ikhlasi katika Ummah lazima wafanye kazi ya kusimamisha Dola ya Khilafah kwa njia ya Utume kwa kuyataka majeshi ya Waislamu kukata mikono ya Magharibi katika nchi zetu.