Jumamosi, 19 Dhu al-Qi'dah 1446 | 2025/05/17
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Sauti Zinazounga Mkono Ushoga Zisingeongezeka Lau si kwa Ufisadi wa Mamlaka na Kutokuwepo kwake hata katika Utabikishaji wa Sheria Walizoanzisha!

Mamlaka ya kisiasa imetoweka, nguvu yake imefifia, na, pamoja na wabunge wake, walipuuza hata vifungu vya katiba walivyovipitisha, ambavyo vinakemea waziwazi na uchafu na ufuska. Waliwaacha watu kwenye hatima yao mbaya, hata katika kupata huduma msingi kama maji na umeme.

Soma zaidi...

Hotuba ya Modi Siku ya Uhuru wa India ni Tangazo Kuhusu Kuchukua Uongozi wa Kanda. Ima Tusimamishe Khilafah au Tuwe Watumwa wa Dola ya Kibaniani

Akizungumza katika Siku ya Uhuru wa Dola ya Kibaniani, Mchinjaji wa Gujarat na Waziri Mkuu wa India, Narendra Modi, alisema, "Sote tunajua kwamba nchi yetu ilivamiwa (na Waislamu) miaka 1200 iliyopita. Jimbo dogo (Sindh) na mfalme wake (Raja Dahir) walishindwa.

Soma zaidi...

Serikali Inachapisha Mabilioni ya Noti za Sarafu ambazo Zinachochea Moto wa Mfumko wa Bei, na Kisha Kumwaga Machozi ya Mamba huku Watu Wakichomeka ndani ya Moto wake!

Bei ya umeme imeongezeka kwa Rupia 18 kwa kila kipimo tangu Julai mwaka jana. Leo umeme, pamoja na ushuru, ni Rupia 50 kwa kila kipimo. Bei za petroli zinagusa Rupia 300 kwa lita. Kiwango cha mfumko wa bei kiko kiwango cha juu katika historia ya Pakistan.

Soma zaidi...

Uchaguzi Sio Suluhisho na Hautaleta Jambo Lolote Jipya, Hata kama Watu Wanaotekeleza Utawala Watabadilika na Wanajeshi Kuondolewa kwenye Orodha

Siku hizi, sauti zinamtaka Sisi ang’atuke na aondoke kwa salama kutoka kwa mandhari. Wakosoaji wa sera na maamuzi yake wameibuka kutoka kwa wale waliolelewa katika kukumbatia serikali hiyo na walikuwa miongoni mwa nguzo zake enzi ya Mubarak.

Soma zaidi...

14 Agosti, Risala ya Siku ya Uhuru Waislamu wa Pakistan, Bangladesh na Afghanistan Lazima Wasimamishe Khilafah ili Kuwaunganisha na Kukabiliana na Tishio Kubwa la Muungano wa Marekani na India

Baada ya kugawanya India mnamo 14 na 15 Agosti 1947, mamilioni ya Waislamu waliobaki nchini India sasa wanateseka sana chini ya kasumba ya dhehebu ya "Hindutva", ili Modi aweze kushinda uchaguzi.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu