Jumamosi, 24 Muharram 1447 | 2025/07/19
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Hizb ut Tahrir ni Chama cha Kimfumo na Kisiasa ambacho Kinaona kuwa ni Haramu Kubeba Silaha kwa ajili ya Kusimamisha Khilafah kwa Njia ya Utume. Kutafuta Nusrah kwa ajili ya Kusimamisha Tena Khilafah ni Faradhi

Watawala wa Pakistan wametikiswa na kufeli kikamilifu kwa mfumo wa sasa na wito unaokua wa Khilafah. Wakifichua kufilisika kwao wenyewe kimfumo na kisiasa, wanajaribu bila mafanikio kukinasibisha chama cha kimataifa, kimfumo, kisiasa, Hizb ut Tahrir, na ugaidi, kupitia ripoti ya habari katika Gazeti la "Daily Aaj" ('Daily Today') la mnamo tarehe 11 Februari 2023.

Soma zaidi...

Haishangazi kwamba wale waliomfanyia Khiyana Mwenyezi Mungu, Mtume wake na Waumini kuweka Mikono yao kwenye Mikono ya Mayahudi Wanyakuzi Wauaji

Mnamo Alhamisi, tarehe 02/02/2023, Waziri wa Mambo ya Nje wa umbile la Kiyahudi, Elie Cohen, na ujumbe aliofuatana nao walikutana na Rais wa Baraza Kuu la Utawala wa Sudan, Abdel Fattah Al-Burhan, mbele ya Waziri Mteule wa Mambo ya Nje, Balozi Ali Al-Sadiq

Soma zaidi...

Kukamatwa Miongoni mwa Wanachama wa Hizb ut Tahrir Je, Vinywa Visemavyo Ukweli Huzibwa Kwa Manufaa ya Nani?!

Kufuatia usambazaji wa toleo la Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Tunisia, lenye kichwa: "Kuporomoka kwa Dola ya Usasa, Hakuna Wokovu Isipokuwa katika Dola ya Khilafah", jana, Alhamisi 01/02/2023, Eneo la Usalama katika Nyumba ya Tamim lilimkamata mwanachama wa Hizb ut Tahrir, Ndugu Adil Al-Ansari, baada ya wito kutumwa kwake.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu