Ijumaa, 16 Muharram 1447 | 2025/07/11
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Kati ya Kuwakandamiza Waislamu na Kuwatishia wa Mabaniani kwa Waislamu, Serikali ya Modi inaandaa Kampeni yake ya Uchaguzi Ujao

Hii hapa serikali kichaa maarufu ya Modi, ikihofia hatima yake katika uchaguzi ujao. Inaregea, kwa mara nyengine tena, sera za kukuuza hisia za tashwishi na hofu, miongoni mwa matabaka ya jamii, ikijionyesha kama mwokozi wa wapiga kura wake.

Soma zaidi...

Ushujaa wa Watu wa Ardhi Iliyobarikiwa ya Palestina Hauwezi Kushutumiwa!

France 24 iliripoti kwenye tovuti yake, Jumamosi, Januari 28, 2023, kwamba baadhi ya nchi za Kiarabu, ikiwemo Misri, Jordan na Imarati, zililaani shambulizi lililoua angalau 'Waisraeli' saba katika ufyatuliaji risadi uliowalenga waumini karibu na sinagogi la Kiyahudi katika mtaa wa makaazi katika Jerusalem Mashariki inayokaliwa kimabavu.

Soma zaidi...

Bila Dinari za Dhahabu na Dirham za Fedha za Uislamu, Sarafu Yetu Daima Itaporomoka Mbele ya Dolari. Utawala wa Dolari Unadumishwa na IMF, Mlinzi wa Mfumo wa Fedha wa Kimataifa wa Kimagharibi

Kwa kuzingatia masharti ya IMF, serikali ya Pakistan ilishusha ghafla thamani ya rupia kwa karibu rupia ishirini na tano, ambayo ni asilimia kumi ya thamani yake, na kusababisha dhoruba ya mfumko wa bei.

Soma zaidi...

Serikali Inataka Kuudhuru Ulinganizi wa Khilafah kwa Kutumia Somoy TV Kuikashifu Hizb ut Tahrir kwa Habari za Uzushi

Ripoti ya habari ya Januari 17 katika Somoy News TV ya Bangladesh, ambayo mara kwa mara huwa kama msemaji wa serikali, ilidai kuwa Hizb ut Tahrir ina kile kinachoitwa uhusiano na mtu katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani ambaye pia ana uhusiano wa karibu na balozi za nchi za Magharibi.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu