Jumamosi, 28 Rajab 1447 | 2026/01/17
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Hotuba ya Mwanachuoni na Amiri wa Hizb ut Tahrir Ata Bin Khalil Abu Al-Rashtah (Mwenyezi Mungu amlinde) Katika Kumbukumbu ya Miaka 105 ya Kuvunjwa kwa Khilafah

Katika siku hizi kama hizi, miaka 105 iliyopita, mwishoni mwa Rajab 1342 H, sambamba na mapema Machi 1924 M, wakoloni makafiri, wakiongozwa na Uingereza wakati huo, kwa ushirikiano na wasaliti wa Kiarabu na Kituruki, waliweza kuivunja Khilafah. Mhalifu wa zama hizo, Mustafa Kemal, alitangaza ukafiri wa wazi kwa kuifuta Khilafah, kumzingira Khalifa jijini Istanbul, na kumfukuza alfajiri siku hiyo hiyo. Hivyo, tetemeko baya la ardhi lilizikumba ardhi za Waislamu kwa kuvunjwa Khilafah, chimbuko la izza yao na radhi ya Mola wao Mlezi.

Soma zaidi...

Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Angazo la Amali za Kimataifa za Hizb ut Tahrir katika Kumbukumbu ya Kuvunjwa Khilafah 1447 H – 2026 M

Katika mwezi mtukufu wa Rajab wa mwaka huu, 1447 H (2026 M), tunakumbuka kumbukumbu ya miaka 105 ya kuvunjwa kwa Dola ya Kiislamu na wasaliti wa Kiarabu na Kituruki, vibaraka wa wakoloni makafiri. Dola hii ilianzishwa na Bwana wa Mitume, Muhammad (saw), na Maswahaba zake Watukufu (ra). Mfumo wa utawala wa Kiislamu (Khilafah) uliondolewa mnamo tarehe 28 Rajab 1342 H, sawia na 3 Machi 1924 M, mikononi mwa mhalifu Mustafa Kemal.

Soma zaidi...

Wanawake wa Sumatra: Sio Tu Wahanga wa Mafuriko

Maafa ya mafuriko katika kisiwa cha Sumatra yamesababisha vifo vya watu 1,071 kufikia 19 Disemba kulingana na Abdul Muhari, Mkuu wa Kituo cha Data, Taarifa, na Mawasiliano ya Maafa katika Shirika la Kitaifa la Usimamizi wa Majanga la Indonesia (BNPB). Katika majanga, wanawake na watoto mara nyingi huwa waathiriwa mara mbili kutokana na udhaifu wa kimuundo, ikiwemo kupuuzwa kwa mahitaji ya afya ya uzazi ya wanawake. Taasisi ya Msaada wa Kisheria ya Banda Aceh (LBH) imesisitiza kwamba katika kila janga, wanawake ndio kundi linaloathiriwa zaidi lakini lisiloonekana sana—mpangilio ambao umethibitishwa tena katika mgogoro wa sasa.

Soma zaidi...

Utawala wa Uovu na Ghasia Utadumu kwa Muda Apendao Mwenyezi Mungu Uwepo!

Muhula wa bunge ulitarajiwa kuisha Novemba 2026, lakini rais alivunja bunge baada ya wabunge wanaounga mkono rais kuanzisha uchaguzi wa mapema wa bunge mnamo 25 Septemba. Uchaguzi ulifanyika dhidi ya mazingira ya kuzuiliwa kwa watu mashuhuri wa upinzani. Mnamo 24 Novemba wanachama wa chama cha upinzani cha Social Democratic Party Temirlan Sultanbekov na Ermek Ermatov, mwana wa rais wa zamani Kadyrbek Atambayev, na wengine walikamatwa. Zhaparov alifanya ujanja kama huo ili kuwaondoa wabunge wasiohitajika bungeni mnamo 2021.

Soma zaidi...

Kongamano la 2025 la Hizb ut Tahrir / Australia ‘Uislamu: Mabadiliko Ambayo Ulimwengu Inahitaji Sana’ Lahitimishwa kwa Mafanikio Makubwa

Hizb ut Tahrir / Australia ilikamilisha kwa mafanikio Kongamano lake la 2025 katika mazingira mazuri ya tafakari ya dhati na wasiwasi wa kweli kuhusu hali ya wanadamu na mwelekeo wake wa baadaye. Kongamano hilo lilijaa hotuba zenye hisia kali na hadhira iliyotiwa moyo na lilijumuisha ujumbe wa video unaotetemesha moyo kutoka katikati mwa Gaza iliyoharibiwa.

Soma zaidi...

Tishio la Kupiga Marufuku Hizb ut Tahrir nchini Australia

Kabla ya waathiriwa wa janga la Bondi hata kuzikwa, watetezi wanaounga mkono Uzayuni katika nchi hii walikuwa tayari wamekubaliana kuhusu simulizi yao na kuchochea orodha yao ya madai ya umma. Uchunguzi ndio umeanza tu, lakini watetezi wanaounga mkono Uzayuni katika nchi hii, wakichukua maelekezo kutoka kwa mhalifu wa kivita Netanyahu, wanasisitiza kwamba kipindi hiki chote kinaweza kuelezewa pekee kupitia jicho la chuki dhidi ya Mayahudi.

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu